Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Bado nawahesabu wamefika wanne wanahitaji(kuolewa) ndoa kutoka kwangu! utafiti ukikamilika nitaleta mrejesho
 
Weeee mkuuu ,sikuwezi ,nacheka hapa
balaaaa

Mkuu usicheke, hawa wamama wanapenda sana kuolewa. Basi tu yani

4383_p41.jpg
 
Humu ndani wengi wanataman kuolewa basi ila Mawazo ya Humu yameshawavuruga
 
Huyu Ni Shishi Trump Anafuraha Kupita Maelezo Kwa Kuolewa Na Uchebe.

Twende Mbele Turudi Nyuma Hapa Mjini Utadanga Wee ILa Mwisho Wa siku Ndoa Utaihitaji Tu. Na Kama Ukifika 40's Haujaolewa Hautakuwa Na Maisha Yenye Amani.

Hongera Uchebe Naona Mzimu Wako Haujaleta Masihara Kama Mzimu Wa Nuhu.
Wanawake wote wanapenda sana kuolewa. Ukimkuta mwanamke anasema yeye hana shida ya kuolewa huyo ni mwongo tu; siyo kama hana shida ya Mume, ila hajapata tu Mume wa kumuoa bado.

Hata maandiko yamesema hivi; "na tamaa yako itakuwa kwa Mumeo". Maana yake ni kwamba kila Mwanamke licha ya kutawaliwa katika ndoa lakini bado watatamani sana kuolewa. Ndiyo maana ISAYA aliandika hivi; "kuna siku Wanawake saba watamfuata Mwanaume mmoja na kumwambia, tutakula chakula chetu wenyewe, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, utuondolee aibu yetu".

Maana ya maneno hayo ni kwamba siku zinakuja Wanawake watakuwa wengi sana tena wenye uwezo wa kujitegemea katika kila kitu, lakini Wanaume wa kuwaoa hawatakuwepo, ndipo sasa itafikia Mwanaume mmoja atafuatwa na Wanawake saba na watambembeleza awaoe wote ili tu awaondolee aibu ya kukaa bila mume.
 
Wanawake wote wanapenda sana kuolewa. Ukimkuta mwanamke anasema yeye hana shida ya kuolewa huyo ni mwongo tu; siyo kama hana shida ya Mume, ila hajapata tu Mume wa kumuoa bado.

Hata maandiko yamesema hivi; "na tamaa yako itakuwa kwa Mumeo". Maana yake ni kwamba kila Mwanamke licha ya kutawaliwa katika ndoa lakini bado watatamani sana kuolewa. Ndiyo maana ISAYA aliandika hivi; "kuna siku Wanawake saba watamfuata Mwanaume mmoja na kumwambia, tutakula chakula chetu wenyewe, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, utuondolee aibu yetu".

Maana ya maneno hayo ni kwamba siku zinakuja Wanawake watakuwa wengi sana tena wenye uwezo wa kujitegemea katika kila kitu, lakini Wanaume wa kuwaoa hawatakuwepo, ndipo sasa itafikia Mwanaume mmoja atafuatwa na Wanawake saba na watambembeleza awaoe wote ili tu awaondolee aibu ya kukaa bila mume.
Nikweli kabisa mkuuu .
 
Hakika mkuuu wa mama wanapenda ndoa sana
b3af49a71825814c2308d94962bc2188.jpg
embu cheki kadada Ka uko nyuma !!!

Unambiwa ndoaaa ndoa nibalaaa
Huyo sasa ndo anaitwa mpenzi mtazamaji... Hawa jamaa wa TV wanatukosea heshima kutuita "wapenzi watazamaji" wakati sisi tuko gado na ndoa zetu... tunakula bata...

images
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom