LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,322
- 6,700
Kuna kitu nilikuwa nawaza jinsi hawa jamaa walivyoweza kugundua umeme na kufanya kila mashine ili ifanye kazi lazima itumie umeme,huu uwezo wenzetu wameutoa wapi?
Kibaya zaidi walivyokuja kutengeneza mfumo wa malipo kwa njia ya kielektroniki,kwamba hauna pesa,haupigi simu au kuwasiliana.
Sisi weusi tulikosea wapi?
Mwenye chochote achangie hili tuzidi kueleweshana maana hapa pia tunawasiliana kwa nguvu ya umeme na pesa.
Nachanganyikiwa kiukweli uwezo wa hawa jamaa.
Kibaya zaidi walivyokuja kutengeneza mfumo wa malipo kwa njia ya kielektroniki,kwamba hauna pesa,haupigi simu au kuwasiliana.
Sisi weusi tulikosea wapi?
Mwenye chochote achangie hili tuzidi kueleweshana maana hapa pia tunawasiliana kwa nguvu ya umeme na pesa.
Nachanganyikiwa kiukweli uwezo wa hawa jamaa.