Kweli leo nimekoma

Kweli leo nimekoma

curie

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
1,065
Reaction score
2,489
Wakuu salamu,

Ni hivi leo asubuhi baada kuwa off na kikazi ninachofanya hapa Arusha nikajisemea moyoni sasa ngoja niende Moshi nasikia ni fasta kutoka A Town ili nijionee Mlima Kilimanjaro kwa macho yangu.

Mzee mzima nikajikoki na ten yangu huyo kwenye coaster ili njia nzima mimi macho yangu yapo kodo kwenye madirisha nikijua tu nitaona mlima hola, mara KIA hapa nikasema sasa lazma itakuwa nakaribia kuuona mlima hadi moshi mjini Hola, nikazunguka zunguka bado sikubahatika mpka jioni.

Badala ya kuona mlima Kilimanjaro nimeambulia kula matunda tu na kurudi zangu Arusha.

Mpaka sasa sielewi kabisa mlima haonekani ukiwa Moshi Mjini sasa nitauonea wapi mie au mpka nirud kwenye atlas kweli.

Nipeni uzoefu niende maeneo gani tena niweze kuuona Mlima Kilimanjaro.
 
Ukiwa unapita na plane kwa juu from dar to arusha...ndege huwa znaambaa ambaa pembezon mwa bahar had arusha..bas structure znavoonekana yaan utaipenda dunia..vile vile kama kwwnye vitab.milima.tributaries..rivers etc..yaan huk mlima huwa unaonekana vzur had raha..ka zanzibar unakaona kalee..yaan kote
 
Ukiwa unapita na plane kwa juu from dar to arusha...ndege huwa znaambaa ambaa pembezon mwa bahar had arusha..bas structure znavoonekana yaan utaipenda dunia..vile vile kama kwwnye vitab.milima.tributaries..rivers etc..yaan huk mlima huwa unaonekana vzur had raha..ka zanzibar unakaona kalee..yaan kote
Zanzibar inaonekana ukiwa usawa wa mlima Kilimanjaro?
 
Mlima hua hauonekani kila siku Kapteni. Kuna siku mawingu yanaufunika wote, siku zingine unaona kilele kikiwa ndani ya mawungu, ukibahatika unakura siku kitu kipo mubashara kabisa chote unauona mlima mwanzo mwisho.
Unaonekana ukiwa angle zip moshi ili nijipange sku moja au popote
 
Mbona Hapa hapa Arusha unaoekana vizuri tu..mimi nikiwa chumbani kwangu nauona safi kabisa kupitia dirishani..huku Moshono tanganyika parkers...kila siku hasa hali ya hewa ikiwa clear.
Arusha kwel mkuu ? Kila sku naangaza macho naambulia meru
 
ungenyooha goti mpaka marangu pale lango la kinapa, Ungeuon Mlim, ungepata na maelezo ya kutosha na ungerud na zawad kibao toka mlimani.
Wakuu salamu,

Ni hivi leo asubuhi baada kuwa off na kikazi ninachofanya hapa Arusha nikajisemea moyoni sasa ngoja niende Moshi nasikia ni fasta kutoka A Town ili nijionee Mlima Kilimanjaro kwa macho yangu.

Mzee mzima nikajikoki na ten yangu huyo kwenye coaster ili njia nzima mimi macho yangu yapo kodo kwenye madirisha nikijua tu nitaona mlima hola, mara KIA hapa nikasema sasa lazma itakuwa nakaribia kuuona mlima hadi moshi mjini Hola, nikazunguka zunguka bado sikubahatika mpka jioni.

Badala ya kuona mlima Kilimanjaro nimeambulia kula matunda tu na kurudi zangu Arusha.

Mpaka sasa sielewi kabisa mlima haonekani ukiwa Moshi Mjini sasa nitauonea wapi mie au mpka nirud kwenye atlas kweli.

Nipeni uzoefu niende maeneo gani tena niweze kuuona Mlima Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom