curie
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 1,065
- 2,489
Wakuu salamu,
Ni hivi leo asubuhi baada kuwa off na kikazi ninachofanya hapa Arusha nikajisemea moyoni sasa ngoja niende Moshi nasikia ni fasta kutoka A Town ili nijionee Mlima Kilimanjaro kwa macho yangu.
Mzee mzima nikajikoki na ten yangu huyo kwenye coaster ili njia nzima mimi macho yangu yapo kodo kwenye madirisha nikijua tu nitaona mlima hola, mara KIA hapa nikasema sasa lazma itakuwa nakaribia kuuona mlima hadi moshi mjini Hola, nikazunguka zunguka bado sikubahatika mpka jioni.
Badala ya kuona mlima Kilimanjaro nimeambulia kula matunda tu na kurudi zangu Arusha.
Mpaka sasa sielewi kabisa mlima haonekani ukiwa Moshi Mjini sasa nitauonea wapi mie au mpka nirud kwenye atlas kweli.
Nipeni uzoefu niende maeneo gani tena niweze kuuona Mlima Kilimanjaro.
Ni hivi leo asubuhi baada kuwa off na kikazi ninachofanya hapa Arusha nikajisemea moyoni sasa ngoja niende Moshi nasikia ni fasta kutoka A Town ili nijionee Mlima Kilimanjaro kwa macho yangu.
Mzee mzima nikajikoki na ten yangu huyo kwenye coaster ili njia nzima mimi macho yangu yapo kodo kwenye madirisha nikijua tu nitaona mlima hola, mara KIA hapa nikasema sasa lazma itakuwa nakaribia kuuona mlima hadi moshi mjini Hola, nikazunguka zunguka bado sikubahatika mpka jioni.
Badala ya kuona mlima Kilimanjaro nimeambulia kula matunda tu na kurudi zangu Arusha.
Mpaka sasa sielewi kabisa mlima haonekani ukiwa Moshi Mjini sasa nitauonea wapi mie au mpka nirud kwenye atlas kweli.
Nipeni uzoefu niende maeneo gani tena niweze kuuona Mlima Kilimanjaro.


