el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,064
Shida ya Marangu na Rombo huwa mnaona vizuri kilele cha mawenzi( kisichokuwa na Barafu) kushinda Kibo.Mkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana
View attachment 1613944
Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi![]()
Kama anataka auone mlima vizuri kabisa hasa eneo lenye barafu ,view nzuri ataiona Moshi mjini, Kibosho, Machame na West kilimanjaro.

