Kweli leo nimekoma

Kweli leo nimekoma

Mkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana

View attachment 1613944

Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi
Shida ya Marangu na Rombo huwa mnaona vizuri kilele cha mawenzi( kisichokuwa na Barafu) kushinda Kibo.

Kama anataka auone mlima vizuri kabisa hasa eneo lenye barafu ,view nzuri ataiona Moshi mjini, Kibosho, Machame na West kilimanjaro.
 
Hii akili ya uhujumu uchumi. Yaani unashauri watu waende Kenya kuangalia Mlima Kilimanjaro? Wewe una akili wewe? Hii ndo elimu uliyopata miaka yote wewe shetani? Unawezaje shauri mtu akaangalie mlima k.njaro kenya? Nyie ndo Wasaliti wa nchi hii

Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
 
Hata ukiwa kabla ya makuyuni Kama unatokea Minjingu Mt.kili unaonekana vizuri tuu ukiwa Arusha mjini panda juu ghorofani utauona au bends tengeru (sadek) utauona vizuri Ila ukitaka kuona maajabu ya huo mlima kimuonekano nenda tarakea utaona picha tofauti na utahisi Kama unaeza kuugusa Mana unakuwa karibu mno
 
Hii akili ya uhujumu uchumi. Yaani unashauri watu waende Kenya kuangalia Mlima Kilimanjaro? Wewe una akili wewe? Hii ndo elimu uliyopata miaka yote wewe shetani? Unawezaje shauri mtu akaangalie mlima k.njaro kenya? Nyie ndo Wasaliti wa nchi hii
Mkuu nimekukubali sana kwenye kufoka, nadhani ingekuwa ana kwa ana ungemsindikiza na kibao kabisa!
 
Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
Hapo ni Kibosho umbwe, Kilimanjaro Tanzania.
20180406_082616.jpg
 
Subiri wazungu watoke ulaya wapige picha ndo uuone kwenye picha
 
Hujaacha tu kuongea pumba!!? Nipo ushirika hapa nauona kama upo kwenye mpapai.
Acha urongo bwashee..
Moshi leo kumepambazuka na kijimvua cha kutoa maua ya krismas..
hadi saa tano hii kuna kijiwingu flan hivi
mlima umefunikwa
 
Mkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana

View attachment 1613944

Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi
Mt.kili ni upi Kati ya hii miwili??
Na huo mwingine unaitwaje?
 
Hiv post yang imekwambia Leo au nimezungumza uhalisia kuwa nipo nafanya kaz ushirika na huwa tunauona!!
Unataka kunibishia kuwa ukiwa ,ushirika, rau madukani, kcmc,mwenge hauonekani!!?
Uwe unasoma kwa makini kabla hajjanijibu
Unanifokea?
 
Mt.kili ni upi Kati ya hii miwili??
Na huo mwingine unaitwaje?
Mlima kilimanjaro ni mmoja..
wenye vilele viwili, kilele chenye barafu ni Kibo na kilele chenye upara ni Mawenzi..
 
Ngoja na mm nipate vichochoro lazma nione mlima siku moja sio kila sku tunaona kwenye website za mabeberu wakt sie tupo hapa mjn kabisa
 
Back
Top Bottom