mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,089
Kwa hiyo aende Kenya?Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
Kwa hiyo aende Kenya?Ukiwa Kenya ndiyo unaonekana vizuri sana
NakaziaAmakweli hii nchi ya ajabu sana....
Yaani watu tunatafuta Rais wewe unatafuta Mlima...![]()

Nenda Kibosho maeneo ya Umbwe utauona vizuri hadi ufurahieWakuu salamu,
Ni hivi leo asubuhi baada kuwa off na kikazi ninachofanya hapa Arusha nikajisemea moyoni sasa ngoja niende Moshi nasikia ni fasta kutoka A Town ili nijionee Mlima Kilimanjaro kwa macho yangu.
Mzee mzima nikajikoki na ten yangu huyo kwenye coaster ili njia nzima mimi macho yangu yapo kodo kwenye madirisha nikijua tu nitaona mlima hola, mara KIA hapa nikasema sasa lazma itakuwa nakaribia kuuona mlima hadi moshi mjini Hola, nikazunguka zunguka bado sikubahatika mpka jioni.
Badala ya kuona mlima Kilimanjaro nimeambulia kula matunda tu na kurudi zangu Arusha.
Mpaka sasa sielewi kabisa mlima haonekani ukiwa Moshi Mjini sasa nitauonea wapi mie au mpka nirud kwenye atlas kweli.
Nipeni uzoefu niende maeneo gani tena niweze kuuona Mlima Kilimanjaro.
Kutoka malangu mpka moshi mjin ni sh ngapi hata mm napanga siku moja nitembelee huko nikaone mlimaMkuu.. mlima Kilimanjaro unaonekana Asubuhi mda wa saa 11 mpaka saa moja. Baada ya hapo unafunikwa na mawingu. Unaweza pia kubahatisha kuuona mchana lakini ni mara chache na tena ni mda wa kiangazi tu. Ukifanikiwa kuuona unapendeza sana
View attachment 1613944
Hapa ni maeneo ya marangu.. Mda ilikua ni saa moja asubuhi![]()
Ulifanikiwa ?Nimekaa Moshi siku tatu lakini sikufanikiwa kuuona mlima, siku ya mwisho nikaambiwa natakiwa kuwahi kuamka saa 12 asubuh ndio naweza kuuona
True been thereNenda Kibosho maeneo ya Umbwe utauona vizuri hadi ufurahie
Yah mi nilikua nauonea vizuri mitaa ya njiro...na usa river pia,japo si mara nyingi kuuonaAta ukiwa Arusha unaweza kuuona.