Ukiwa unapita na plane kwa juu from dar to arusha...ndege huwa znaambaa ambaa pembezon mwa bahar had arusha..bas structure znavoonekana yaan utaipenda dunia..vile vile kama kwwnye vitab.milima.tributaries..rivers etc..yaan huk mlima huwa unaonekana vzur had raha..ka zanzibar unakaona kalee..yaan kote
Nimekaa Moshi siku tatu lakini sikufanikiwa kuuona mlima, siku ya mwisho nikaambiwa natakiwa kuwahi kuamka saa 12 asubuh ndio naweza kuuona