Kweli hali ya pesa ni ngumu

Kweli hali ya pesa ni ngumu

Nunua tu,next time thread zako utakua unaziandika unamalizia na hizi emoj😢😩😫😔☹😰

Viwanja vya mirathi we ngojea Baada ya miaka mi 3 mbele,atatokea mtoto ambae hajulikani

katokea wapi atakuja na Documents zote za kwamba kiwanja ni chake na baba alimuandkishia yeye

sasa hivi hao ndugu si wanasema mambo muswano,oukeiii "nunua" ila ipo siku utasema "ninge"
 
Mimi hapa nilipo nina watoto 7 ila ndugu zangu,wazazi,majirani na kila mtu

wanawajua watoto wangu wa 5 tu,hawa wawili ni siri yangu mimi staki wajulikane

kwasababu mama zao bado ni wajawazito,hawajazaliwa ila pamoja na kwamba hawajazaliwa

Viwanja vyangu,nyumba nimewaandikisha hawa watoto wawili (wasiojulikana) ambao wako tumboni

hawa wengine,nimewaandikia vitu vingine vingine tu,nyumba ndogo na vi plot vi dogo dogo

sasa mtu anunue tu vitu atavyouziwa na hawa wa 5,ila siku watakapoibuka hawa wawili

Balaa lake halitokua dogo na mtu kama wewe sky,hutoamini macho yako maaana hcho kiwanja

kitachukuliwa kama umesimama yani,Viwanja vya aina hiyo hata kama una wanasheria 200

wakukusimamia wakati wa mauzo "usinunue" huwezi elewa sasa hivi,ila majuto ni mjukuu.
 
Bei ya 3m inalingana vipi na bei ya viwanja yva jirani? Iwapo utafauti wa bei ni kubwa bila shaka kiwanja bomu.
 
Kuna kiwanja cha jirani yangu kiko wazi. Nilimuuliza malengo yake aliniambia kwa kweli tangu mzee wake aondoke duniani ramani yake haisomeki. Mzee alikua Don serikalini. Nilimgusia kama anaweza kuniuzia hiyo ilikua 2012 aliniambia nimpe milioni 60. Mume wangu aliniambia kwa bei hiyo achana nae.

Juzi amenitumia ujumbe tukutane tuongee. Tulipokutana anasema yuko tayari kwa milioni 3 tuamdikishiane anipe kiwanja. Hapa nilipo sijaamini nilichokisikia.
Siamini shosti yani umekuja kuniumbua huku?

Nimeghairi siuzi bora nifugie shwaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizo nyuma zilizoshuka beo ziko wapi wakuu maana nakaa nyumba siielew af nalipa hela nyingi kweli
Ni kweli bei za viwanja zimeshuka sana kipindi hiki, ila bado watu wanauza na kununua kama kawaida.

Hata nyumba za kupanga zimeshuka bei ila wateja wapo wengi kama zamani.

Ni wapi ulipo hakuna wapangaji?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka 60M hadi 3M mmh hakuna kitu kama hicho chai hii.
 
Achana nacho hicho. Kitakuletea kesi au mara ujenge ukute nyumba hailaliki. Tafuta kiwanja ambacho kiko clean like a whistle hata kama ni huku kwetu Mwanagati. Sio lazima ukae Ilala
Kibamba kuna viwanja vya mkopo. Unalipia milioni unusu zilizobaki utalipa baada ya miaka 2.
Mmh ya kweli haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua tu,next time thread zako utakua unaziandika unamalizia na hizi emoj😢😩😫😔☹😰

Viwanja vya mirathi we ngojea Baada ya miaka mi 3 mbele,atatokea mtoto ambae hajulikani

katokea wapi atakuja na Documents zote za kwamba kiwanja ni chake na baba alimuandkishia yeye

sasa hivi hao ndugu si wanasema mambo muswano,oukeiii "nunua" ila ipo siku utasema "ninge"
hahaaaaaaa u made my day😆😆😆😆🤣🤣🤣
 
Kuna kiwanja cha jirani yangu kiko wazi. Nilimuuliza malengo yake aliniambia kwa kweli tangu mzee wake aondoke duniani ramani yake haisomeki. Mzee alikua Don serikalini. Nilimgusia kama anaweza kuniuzia hiyo ilikua 2012 aliniambia nimpe milioni 60. Mume wangu aliniambia kwa bei hiyo achana nae.

Juzi amenitumia ujumbe tukutane tuongee. Tulipokutana anasema yuko tayari kwa milioni 3 tuamdikishiane anipe kiwanja. Hapa nilipo sijaamini nilichokisikia.
Nyinyi ndiyo mafisadi.wenyewe mlikuwa mnatumbua Pesa za wananchi kifisadi ndiyo maana mmalalama ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom