choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,577
Eti awamu hii ardhi haina thamani!!...unaongea kama nani mzee...waziri wa ardhi au
Mzee acha siasa tuje kwenye reality. Demand ikiwa ndogo price inashuka. Watu hawana pesa ndio maana wanauza hata bei ya kutupa. Mtu anakupigia simu anauza kiwanja square meter 700 na kunya nyumba haijaisha anakuambia nipe milion 9 uliskia wap haya mambo.
Sent from my iPhone using JamiiForums