Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

Naam, ilikuwa Sudan enzi hizo na ilikuwa na TV. Kumbuka hilo. Huo u South Sudan si juzi juzi tu na pia wana TV.

Nimekuuliza vile maksudi tu! Inabidi basi utengue kauli kwamba sisi Watanganyika ni wamwisho kumiriki kituo cha luninga ilhal kumbe kuna vijiinchi vingi vitazaliwa ama kupata uhuru baada ya sisi.
Usilidharirishe Taifa letu bibi FaizaFoxy jivunie kuwa Mtanzania
 
Last edited by a moderator:
Mkuu haswa umepatia kabisa hata wanaopanda humo hawatofautiani na wale wanaopenda ndege
Nauli ya Tsh.35000 ni kwa dodoma ni wachache watapanda na ukiona Nauli hapo ilipo hata gari
isipojaa hasara si kubwa ni wachache wenye uwezo wa kuacha nauli ya Tsh.18000-20000
wakakimbilia 35000 wanaokuja huku wengi ni wenye uwezo mzuri kiuchumi na hata wengi ni wastaarabu
Nimesafiri mara kadhaa na gari za ABc,Kimbinyiko Coach Dar-Dodoma Abiria wengi wa hizi bus
ustaarabu wao si wakutilia shaka

Hizo zitapata sana wateja mkuu...hiyo hela ndogo tu. Wanafunzi wa vyuo lukuki vilivyopo Dom, na watu wengine kibao.
Sikuhizi watu hawataki shida...35,000/= ni very affordable mkuu.
 
dahhh bongo kunakuwa tambarare siku hizi yani hela yako tu. sio unapanda mibasi hadi ukifika unaumwa mafua.
 
ina maana nilipozaliwa mwaka 1990 ulikuwa ni wakati wa ahueni kwenu?ukilinganisha na nyuma ya hapo

1990 ni neema kubwa sana ukilinganisha na nyuma. 90 hakuna foleni ya chakula na kila kitu ruksa. Na TV tayari tumeshaanza kuziona za watu binafsi DTV.
 
naskia wakati huo mabasi yenu yalikuwa aina ya leyland,kuna basi lilikuwa linaitwa mkaramo kama skosei FaizaFoxy

Mwanza - Dar = Tanganyika Bus Service 24- Hours, toka mkoloni, baada ya miaka michache ndani ya awamu ya kwanza barabara zikaanza kukosa maintenance ikawa inabidi tupite Kenya kwenda au kutokea Mwanza! mpaka ujio wa Kikwete ndiyo akaondoa hilo tatizo la kupitia Kenya.

Nnakumbuka siku za awali za uongozi wa Kikwete alikuwa akienda mwenyewe Dodoma Singida kuikaguwa barabara iliyoharibika awamu ya kwanza kwa kukosa maintenance na awamu zote ikawashinda kuitengeza mpaka Kikwete akaishikia bango na kuisimamia yeye mwenyewe binafsi.

Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Kikwete katutowa mbali sana, leo mpaka mnaona mabasi luxury namna hiyo mjuwe kafanya kazi kubwa sana ukilinganisha na alipoipokea hii nchi.
 
Kwa buses jamaa anaweza sana kununua tatizo huduma zake na wale vijana wake wanaotangaza aaaargh bado kabisa. . . . .!!!

Akiweza hapo tu baaaas
 
Weeee achana na wanyange wa kisukuma wewe they know how to handle! Wanyaki roho mbaya sana alafu miili mikubwa nguvu nyingi hawajui hata kuzitumia!!

Hao wasukuma kwa kupenda kula kula ovyo mara kanunua samaki wa kukaanga mara nini na hayo mafuta yaani hizo screen touch zitajaa mafuta ya vitumbua na samaki hasa wasukuma wanapenda kula kula nishasafir nao sana njia moja ni shida sana hao watu.
 
kama vipi waweke na mashine za kubeti kila siti vinginevyo hawatopata hiyo target market yao ya wanachuo
 
Watu wanamawazo ya kimaskini Mara itachakaa mapema Mara haita dumu, haipat ajali why not think positively and be happy for this guy and encourage others to do the same....from this very slightly observation I guess we have lot of years before getting rid of our poverty

anza kwa kuipenda lugha yako kwanza
 
wazipeleke njia zote sio njia ya kigoma,,, waha hawachelewi kupikia mawese kwa majiko ya mkaa humo humo ndani,,, sipatii picha siti kama zile wamekaa waha wawili halaf kila mmoja kajitwisha mbuzi, mkaa, document za mauziano ya shamba, tshet ya ccm imechokaaa na gunia la migebuka!! sasa kiswahili chao ndo usipime; ebhaaaaaaana leo tumepanda mwenye mbinguniii
 
NAMUO SANA TENA SANA, APELEKE GARI WALAU moja tu Dar Es Salaam to Mwanza.Naomba Wamfikishie Ombi Letu Watu Wa Mwanza Na Nzega
 
Safi sana Shabiby unaendelea kunipa sababu ya kupita Dar transit tu kama mshale...na kunitoa kwenye hewa chafu ya Dar fastaa 🙂

Tena Siye tunaopandaga Shabiby luxury lile la saa tano na dk ishirini wote ni wastaarabu...Kwa hili tutaongeza ustaarabu maradufu!

ILA WAFANYAKAZI WA SHABIBY ESP WA NDANI YA BUS JIFUNZENI CUSTOMER SERVICE. MKO RUDE SANA MNABOA!
 
Mwanza - Dar = Tanganyika Bus Service 24- Hours, toka mkoloni, baada ya miaka michache ndani ya awamu ya kwanza barabara zikaanza kukosa maintenance ikawa inabidi tupite Kenya kwenda au kutokea Mwanza! mpaka ujio wa Kikwete ndiyo akaondoa hilo tatizo la kupitia Kenya.

Nnakumbuka siku za awali za uongozi wa Kikwete alikuwa akienda mwenyewe Dodoma Singida kuikaguwa barabara iliyoharibika awamu ya kwanza kwa kukosa maintenance na awamu zote ikawashinda kuitengeza mpaka Kikwete akaishikia bango na kuisimamia yeye mwenyewe binafsi.

Jamani mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Kikwete katutowa mbali sana, leo mpaka mnaona mabasi luxury namna hiyo mjuwe kafanya kazi kubwa sana ukilinganisha na alipoipokea hii nchi.

Barabara alianza nazo Mkapa, Kikwete kaja kusogeza mbele. Ila najua Mkapa huwezi kumtaja kwa sababu alikuwa haswali ijumaa.
 
Wewe unafikiri raia wanapata wapi moyo wa kuwekeza? mbona hatujayaona awamu ile? Fikiri, hata TV ilikuwa hamna, wacha TV hata kula ilikuwa shida. Ulikuwepo awamu ya kwanza? au unaisikia tu?

Mimi nipo tangu Uhuru wa Tanganyika
 
Back
Top Bottom