Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,525
- 2,799
Mkuu haswa umepatia kabisa hata wanaopanda humo hawatofautiani na wale wanaopenda ndegekama kwenye ndege vile. safi sana. ile wabongo wataviharibu ndani ya wiki moja tu.
Nauli ya Tsh.35000 ni kwa dodoma ni wachache watapanda na ukiona Nauli hapo ilipo hata gari
isipojaa hasara si kubwa ni wachache wenye uwezo wa kuacha nauli ya Tsh.18000-20000
wakakimbilia 35000 wanaokuja huku wengi ni wenye uwezo mzuri kiuchumi na hata wengi ni wastaarabu
Nimesafiri mara kadhaa na gari za ABc,Kimbinyiko Coach Dar-Dodoma Abiria wengi wa hizi bus
ustaarabu wao si wakutilia shaka