falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,227
- 9,356
Hahahahahaha mm msukuma imepiga ikulu mkuu
hehehehehe pole mkuu japo ni ukweli
Hahahahahaha mm msukuma imepiga ikulu mkuu
yatachakaa ndani ya muda mfupi
Kwako tuSwali la kiwaku kabisa hili
Kweli mkuu..wakaribishe huko waone Oxygen buses za hatari mombasa kwenda nairobi mpaka kampala..ni balaaa...Hata hivyo mabasi yapo kwa wenzetu kule zambia na zimbabwe kwenda kwa madiba..yaani ni sleepliner..
Kuna mashpoua na tahmeed mombasa hizo zikasome tu
wasukuma waharibifu na washamba mtamtia hasara mzee shabiby,nyie endeleni na usafiri wa treni
Tutake radhi mkuu!! Nyie wanyakyusa mbona mlimaliza seats za super feo mbeya-songea mpaka akawachongea vigoda!!
Punguzeni ile miili yenu km vitimoto wa ilemi!!!
Tutake radhi mkuu!! Nyie wanyakyusa mbona mlimaliza seats za super feo mbeya-songea mpaka akawachongea vigoda!!
Punguzeni ile miili yenu km vitimoto wa ilemi!!!
hiyo mi bus ya kenya ya kuchonga ndo huyu jamaa anaisifia, kuweka wi-fi na tv ni maamuz tu na sio kitu cha kushangaza, hizo tahmeed na modern ndo gar za maana kwa kenya mengine kama umepanda kwenye visiki
Hahahahahaha mm msukuma imepiga ikulu mkuu
Wasukuma wastaarab mkuu! Huwezi kulinganisha na wanyakyusa, miili mikubwa kama vitimoto wanao landalanda mitaa ya sinde kuchakua majalani!
Mabasi ya kwenda Mbeya yote mbofu mbofu!! Muulize falcon mombasa anajua hilo!
Yeye kila kukicha anasifia mademu wa kihabeshi tu, wanyaki wenzie hataki hata kuwaona!!