Kweli ATCL wanastahili kutumbuliwa

Kweli ATCL wanastahili kutumbuliwa

Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.

Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.

Sasa kwa nini wasitumbuliwe?

Duh! Au Uongozi wa ATCL UmeoNwa na washindani wao 'nini?
 
Hivi mnafikiri mashirika yote ya umma yaliuliwa na akina nani?
 
Lengo la biashara zinazomilikiwa na serikali ni tofauti na biashara binafsi. Sio kuua biashara nyingine bali ni kuboresha huduma.

Hayo mashirika mengine yanalipa kodi na yametoa ajira. Kuyaondoa kwenye biashara tena kwa muda mfupi ni kuua uchumi.
 
Vitengo vingi huko serikalini na mashirika ya umma wamepewa watu wasio na taaluma pia uelewa wa kawaida. Unakutana na mtumishi tena daraja la juu ila maamuzi yake anazidiwa na darasa la saba mwenye uelewa wa mambo.

Inanikumbusha jamaa alipata scholarship nje ya nchi ,alipokwenda kufuatilia visa ubalozi husika akaambiwa aende wizara ya elimu kwa mtu mmoja (akapewa hadi jina) agonge mhuri makaratasi yake ili visa yake iweze kushughulikiwa. Cha ajabu amefika wizarani yule mhusika anamwambia deadline ya kugonga mihuri ya namna hiyo imeshapita na hawezi kumgongea. Sasa mtu katafuta scholarship mwenyewe, serikali ya Tanzania haingii gharama yoyote juu ya masomo yake unakataa kupiga mhuri tu mtu akapate visa?

MAGUFULI endelea kutumbua bila huruma.
Umesema ukweli kuna Mkuu wa chuo wa chuo cha ualimu cha serikali aisee huyu Mkuu ni mzigo hawezi Fanya lolote uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sio mbunifu hata kidogo chuo kimedoda hata kununua viti kwa ajli ya staff hawezi.hii serikali sijui vipi wanateuaje viongozi wa taasisi za uma sijui wanatumia vigezo gani tena huu utaratibu wa kuteua wakuu was vyuo in mbovu kabisa hawa watu walitakiwa wapigwe interview sio teuzi mbovu za kujuana nchi hii inateketea kwa uzembe wa serikali
 
Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.

Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.

Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Ndio maana nilishangaa Jana jumapili nimekuta ndege zote za ATC L kuanzia asubuhi hadi mchana naondoka airport ziko zote Mbili zilizonunuliwa zimepaki zimekaa tu hadi zinatia huruma nikajiuliza hivi jumapili zinakuwa off haziruki?
 
Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.

Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.

Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Jaribu kuangalia shirika kama la Easy jet la Uingereza ambalo ndilo linamiliki Faster jet. Likiyumba kifedha mashirika mengine binafsi yanaweza kufurahia kwa sababu inatoa mwanya wa biashara kwao lakini serikali ya Uingereza watakuwa tayari hata kuwapa fedha ili lisife ingawa wanashirika lao la British Airways.

Kuna impact kubwa kwenye uchumi serikali ikiwa inatumia kodi za wananchi kushinda na mashirika binafsi badala ya kuwasaidia.
 
Afu utakuta wanaozipanda hizo ndege za route za saa3 usiku niwazungu
Maana wabongo nnavowajua hawez akakata ticket ya ucku afu ya bei kubwa akaacha za bei rahic za mchana
 
Wengi wamesema hapa jamvini kwama ATCL imeanza vibaya na haitafika popote! Its a WHITE ELEPHANT PROJECT, So sad; too bad!
 
Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.

Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.

Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Huwezi kujua. Labda kuna mkakati ficho nyuma yake!
 
Hahaha!! Ngoja nijaribu kuwatetea ATCL nione kama italeta maana;
1. Ndege za ATCL hazidaiwi zimelipiwa cash hiyo ni kutokana na Mkuu wa nchi, hivyo nadhan wao wanaona ni sawa tu hata wakipata faida jiti kwa siku inakuwa poa tu.

2. Mkuu wa nchi yeye aliamini kuwa shirika lina tatizo moja tu ukosefu wa ndege hivyo akanunua na hakujua nini hasa niliuwa shirika hilo kwa kuanzia. Hali hii inawafanya hata wafanyakazi wa ATCL waone jukumu lao kubwa ni kuhakikisha uwepo wa ndege na ssio kutengeneza faida.

3. Mkuu wa nchi alishatangaza kuwa serikali yake tajiri imesha order ndege nyingine tatu kama sio nne. Hii inapelekea shirika kutokuwa na changamoto zozote zile kwan vyanzo vya hela ni serikali na sio mtaji waliopewa wa ndege mbili uwafanye waweze kununua ndege nyingine, hivyo basi faida hata ya shs 100 ni kubwa sana kwa shirika kwan wao wanatakiwa tuhakikisha ndege zipo

4. Jingine wao kama wafanyakazi wa shirika wako kwwenye payroll wa serikali hivyo hata wasipotengeneza faida mishahara yao ipo pale pale

5. Pia wakifanya safari nyingi kama mashirika mengine na wakitumia utaratibu wa kukata tiketi kama mashirika mengine halafu wakaja na faida ya milion kadhaa then mkuu yeye akaakwa uzoefu wake akahesabu idadi ya viti mara trip mara mwezi akiamini kila safani ndege inakuwa imejaa huon bado watatumbuliwa? Ndio maana wameweka utaratibu wa log in kuepusha kutumbuliwa na mkanganyiko kama huu

Kwa maana hiyo itakuwa rahisi sana kwa sisi kuwalaumu wafanyakazi wa shirika wakati hatujui lengo la kutoka kwa Mkuu wa nchi ni lipi juu ya shirika, kuna mkakanganyiko flani ukiangalia kiundani. Ni sawa na kukaa hapa na kumlaumu Mkuu wa mkoa wa dar na Arusha wakati wao wanatekeleza tu walio angizwa.



Natamani Ze comedy wangetumia hii script yako kuandaa moja ya show zao; Nice satire!
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Fafanua kidogo kwenye bei.
Una maana Atcl bei yao ni kubwa mara mbili kuliko precision air na fastjet au?
ATCL bei yao ni nusu ya bei ya hayo mashirika mengine. Kwa mfano nauli ya ATCL Mwanz to Dar ni shs 160,000/ wakati nauli hiyo ni takribani shs 330,000/ kwa mashirika hayo mengine.
 
ATCL bei yao ni nusu ya bei ya hayo mashirika mengine. Kwa mfano nauli ya ATCL Mwanz to Dar ni shs 160,000/ wakati nauli hiyo ni takribani shs 330,000/ kwa mashirika hayo mengine.
Thanks for this valuable info.
 
Nitoke nje ya mada kidogo; hivi ni kwanini route ya Dar - Kilimanjaro ambayo ni umbali mfupi ni ghali zaidi ya Dar - Mwanza ambayo ni ndefu? Naombeni kujuzwa wadau.
 
Nitoke nje ya mada kidogo; hivi ni kwanini route ya Dar - Kilimanjaro ambayo ni umbali mfupi ni ghali zaidi ya Dar - Mwanza ambayo ni ndefu? Naombeni kujuzwa wadau.
Route ya Mwanza ndio ina abiria wengi So lazima bei iwe nafuu sababu route zinakuwa nyingi
 
Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.

Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.

Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Kikwete ndiye mratibu Wa ushenzi wote kupitia precision air
 
Msiwalaumu Atcl. Anayetoa ruti ni Taasisi nyingine wao wanapangiwa
 
Back
Top Bottom