Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,798
- 830,949
Muda huu bila shaka unarudi na 'panga boy' yako kutoka kuwanga..

Muda huu bila shaka unarudi na 'panga boy' yako kutoka kuwanga..

Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.
Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.
Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Umesema ukweli kuna Mkuu wa chuo wa chuo cha ualimu cha serikali aisee huyu Mkuu ni mzigo hawezi Fanya lolote uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sio mbunifu hata kidogo chuo kimedoda hata kununua viti kwa ajli ya staff hawezi.hii serikali sijui vipi wanateuaje viongozi wa taasisi za uma sijui wanatumia vigezo gani tena huu utaratibu wa kuteua wakuu was vyuo in mbovu kabisa hawa watu walitakiwa wapigwe interview sio teuzi mbovu za kujuana nchi hii inateketea kwa uzembe wa serikaliVitengo vingi huko serikalini na mashirika ya umma wamepewa watu wasio na taaluma pia uelewa wa kawaida. Unakutana na mtumishi tena daraja la juu ila maamuzi yake anazidiwa na darasa la saba mwenye uelewa wa mambo.
Inanikumbusha jamaa alipata scholarship nje ya nchi ,alipokwenda kufuatilia visa ubalozi husika akaambiwa aende wizara ya elimu kwa mtu mmoja (akapewa hadi jina) agonge mhuri makaratasi yake ili visa yake iweze kushughulikiwa. Cha ajabu amefika wizarani yule mhusika anamwambia deadline ya kugonga mihuri ya namna hiyo imeshapita na hawezi kumgongea. Sasa mtu katafuta scholarship mwenyewe, serikali ya Tanzania haingii gharama yoyote juu ya masomo yake unakataa kupiga mhuri tu mtu akapate visa?
MAGUFULI endelea kutumbua bila huruma.
Ndio maana nilishangaa Jana jumapili nimekuta ndege zote za ATC L kuanzia asubuhi hadi mchana naondoka airport ziko zote Mbili zilizonunuliwa zimepaki zimekaa tu hadi zinatia huruma nikajiuliza hivi jumapili zinakuwa off haziruki?Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.
Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.
Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Jaribu kuangalia shirika kama la Easy jet la Uingereza ambalo ndilo linamiliki Faster jet. Likiyumba kifedha mashirika mengine binafsi yanaweza kufurahia kwa sababu inatoa mwanya wa biashara kwao lakini serikali ya Uingereza watakuwa tayari hata kuwapa fedha ili lisife ingawa wanashirika lao la British Airways.Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.
Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.
Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Huwezi kujua. Labda kuna mkakati ficho nyuma yake!Kwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.
Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.
Sasa kwa nini wasitumbuliwe?
Hahaha!! Ngoja nijaribu kuwatetea ATCL nione kama italeta maana;
1. Ndege za ATCL hazidaiwi zimelipiwa cash hiyo ni kutokana na Mkuu wa nchi, hivyo nadhan wao wanaona ni sawa tu hata wakipata faida jiti kwa siku inakuwa poa tu.
2. Mkuu wa nchi yeye aliamini kuwa shirika lina tatizo moja tu ukosefu wa ndege hivyo akanunua na hakujua nini hasa niliuwa shirika hilo kwa kuanzia. Hali hii inawafanya hata wafanyakazi wa ATCL waone jukumu lao kubwa ni kuhakikisha uwepo wa ndege na ssio kutengeneza faida.
3. Mkuu wa nchi alishatangaza kuwa serikali yake tajiri imesha order ndege nyingine tatu kama sio nne. Hii inapelekea shirika kutokuwa na changamoto zozote zile kwan vyanzo vya hela ni serikali na sio mtaji waliopewa wa ndege mbili uwafanye waweze kununua ndege nyingine, hivyo basi faida hata ya shs 100 ni kubwa sana kwa shirika kwan wao wanatakiwa tuhakikisha ndege zipo
4. Jingine wao kama wafanyakazi wa shirika wako kwwenye payroll wa serikali hivyo hata wasipotengeneza faida mishahara yao ipo pale pale
5. Pia wakifanya safari nyingi kama mashirika mengine na wakitumia utaratibu wa kukata tiketi kama mashirika mengine halafu wakaja na faida ya milion kadhaa then mkuu yeye akaakwa uzoefu wake akahesabu idadi ya viti mara trip mara mwezi akiamini kila safani ndege inakuwa imejaa huon bado watatumbuliwa? Ndio maana wameweka utaratibu wa log in kuepusha kutumbuliwa na mkanganyiko kama huu
Kwa maana hiyo itakuwa rahisi sana kwa sisi kuwalaumu wafanyakazi wa shirika wakati hatujui lengo la kutoka kwa Mkuu wa nchi ni lipi juu ya shirika, kuna mkakanganyiko flani ukiangalia kiundani. Ni sawa na kukaa hapa na kumlaumu Mkuu wa mkoa wa dar na Arusha wakati wao wanatekeleza tu walio angizwa.
ATCL bei yao ni nusu ya bei ya hayo mashirika mengine. Kwa mfano nauli ya ATCL Mwanz to Dar ni shs 160,000/ wakati nauli hiyo ni takribani shs 330,000/ kwa mashirika hayo mengine.Fafanua kidogo kwenye bei.
Una maana Atcl bei yao ni kubwa mara mbili kuliko precision air na fastjet au?
Thanks for this valuable info.ATCL bei yao ni nusu ya bei ya hayo mashirika mengine. Kwa mfano nauli ya ATCL Mwanz to Dar ni shs 160,000/ wakati nauli hiyo ni takribani shs 330,000/ kwa mashirika hayo mengine.
Route ya Mwanza ndio ina abiria wengi So lazima bei iwe nafuu sababu route zinakuwa nyingiNitoke nje ya mada kidogo; hivi ni kwanini route ya Dar - Kilimanjaro ambayo ni umbali mfupi ni ghali zaidi ya Dar - Mwanza ambayo ni ndefu? Naombeni kujuzwa wadau.
Mchana watu wawe sehemu zao wafanye "kazi".Tusafiri wote usiku
Kikwete ndiye mratibu Wa ushenzi wote kupitia precision airKwenye domestic flights, routes za Dar - Mwanza ndizo zenye wateja wengi na zinalipa. Mashirika ya Precion air na Fast jet kila moja lina route tatu za Dar- MZA yaani saa 2 asubuhi, saa 6 mchana na saa 2 usiku. Trip za asubuhi na saa 6 ndizo hot cakes zenye wateja wengi na bei yake ni kubwa. Trip ya usiku siyo hot, kwa maana mkazi wa Mwanza kufika Dar usiku kama hana makazi Dar ni usumbufu na gharama zaidi ya usafiri toka airport kwenda kusaka hotel za kulala.
Cha ajabu tangia ATCL waanze kutoa huduma hii wao wameamua kufanya route moja tu ya usiku, tena usiku wa saa 3 na nusu, yaani kufika Dar saa 5 usiku. Zile route nzuri wamewaachia washindani wao. Bei za ATCL ni nusu ya bei za washindani wao, hivyo wakaona waachie hizo route maana washindani wao hawangepata wateja au ingebidi nao wateremshe bei.
Sasa kwa nini wasitumbuliwe?