Hata bila kupewa hongo, hivi ukiambiwa uende Mwanza kutoka Dsm ambayo ni safari ya saa nzima hadi saa nzima na nusu kulingana na aina ya ndege halafu ukaambiwa uchague kati ya jet ya Fast Jet, pangaboi kubwa ya Precision Air au pangaboi ya kubanana ya Air Tanzania hata kabla hujaangalia bei ya tiketi utachagua ipi hapo iwapo wewe ni mzoefu wa safari za ndege?
Ni wazi chaguo la mwisho litakuwa Air Tanzania. Nani akubali kusafiri kwa mateso na kujiminya bila raha yoyote kwa saa nzima na nusu eti kisa uzalendo?
Heeeeeeeeh...Watanzania tuko wa aina nyingi kwa mawazo na maoni.......si rahisi kumshinda Mtanzania kwa kejeli.....