Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 5,509
- 7,263
Miradi ya serikali huwa haina ufanisi na ushindani. Ipo ipo tu.
Serikali yetu ina vyanzo vingi sana ya kujipatia mapato lkn haijali. Wao wanaona njia nzuri za kupata mapato ni kupitia PAYEE, makosa ya barabarani, Tax & Vat.
Ww angalia TTCL liko ovyooooo mpaka huruma, na miradi mingine yaan bora liende.
Tanzania kuendelea ni ndoto sbb viongozi wetu ni wanafiki halafu wanajali matumbo yao.
Tumeambiwa hii nchi itakuwa ya viwanda, halafu baadae wanasema kazi ya serikali ni sound tu ili wawekezaji waje.
NI NCHI GANI IMEWEZA KUWA NCHI YA VIWANDA KWA KUWATEGEMEA WAWEKEZAJI?
SERIKALI INABID IJITAFAKALI UPYA KUHUSU MIRADI YAKE.
Serikali yetu ina vyanzo vingi sana ya kujipatia mapato lkn haijali. Wao wanaona njia nzuri za kupata mapato ni kupitia PAYEE, makosa ya barabarani, Tax & Vat.
Ww angalia TTCL liko ovyooooo mpaka huruma, na miradi mingine yaan bora liende.
Tanzania kuendelea ni ndoto sbb viongozi wetu ni wanafiki halafu wanajali matumbo yao.
Tumeambiwa hii nchi itakuwa ya viwanda, halafu baadae wanasema kazi ya serikali ni sound tu ili wawekezaji waje.
NI NCHI GANI IMEWEZA KUWA NCHI YA VIWANDA KWA KUWATEGEMEA WAWEKEZAJI?
SERIKALI INABID IJITAFAKALI UPYA KUHUSU MIRADI YAKE.