Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #61
Yaani wifi,!..napenda unavyonilinda! Nimekugongea like kimoyo moyo! Akale alikolala jana.
i love u so so much dear,i wont let anything bad happen to u.
Yaani wifi,!..napenda unavyonilinda! Nimekugongea like kimoyo moyo! Akale alikolala jana.
Umeanza kuninunua eeh?.. Wifi, wifiii, wifiii njoo ananivutia chumbani!Kule mambo yameshakaa sawa halafu nimerudi na jiwe la almasi worth yake nitakuambia tukiingia chumbani asije akasikia Kabakabana
Hujui kama majivu ni dawa au hujui inatibu nini
mzoefu huyu mdogo wangu namfahamu sana aliweka chumvi kwenye chakula miaka mitano iliyopita kikageuka nondo
Thanks my lovely wifi... Hehehe, asiye na wifi na atafute shimo ajifukie!.. Mwaaaaaa to you!i love u so so much dear,i wont let anything bad happen to u.
Tehe! Tehe! Tehe! Au na hivi nilivyoanza kumpenda isijekuwa kanichanganyia uzoefu!.
Umeanza kuninunua eeh?.. Wifi, wifiii, wifiii njoo ananivutia chumbani!
Kule mambo yameshakaa sawa halafu nimerudi na jiwe la almasi worth yake nitakuambia tukiingia chumbani asije akasikia Kabakabana
wewe ishakutibu nini?
Umeanza kuninunua eeh?.. Wifi, wifiii, wifiii njoo ananivutia chumbani!
Teh teh teh mbona ulliweka wewe halafu ukaniomba tukiulizwa nijiseme mimi maana ulikuwa unaogopa bakora za mdingi
Thanks my lovely wifi... Hehehe, asiye na wifi na atafute shimo ajifukie!.. Mwaaaaaa to you!
Inatibu maumivu ya jino, bandama, matatizo ya kupiga chafya
na wewe pia
yapiiiiiiiiiii?thanx,ufunge eeh na upunguze yale mambo yako.
ambayo hayatakiwi kipindi hiki cha kwaresmayapiiiiiiiiiii?
Asante sana ndugu, tupeane myo, tukumbushane tuhizane kutubu, kusaidia masikini na kufunga
na sumu anywe lol