"Kwaraha zetu peke zetu" , na "maprimitive" , na "maparalize"

"Kwaraha zetu peke zetu" , na "maprimitive" , na "maparalize"

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,632
Reaction score
1,106
1000179633.jpg


"Kwaraha zetu peke zetu, na maprimitivu na maparalize"

"Nimeshaongea na Elon Musk amesema atatupatia Internet bure"

"Nimeshaongea na mkuu wa Satellite akasema atatusogezea satellite siku hiyo"

"Nimeshaongea na Mkuu wa Majeshi akasema atakuwepo"

"Nimeshaongea na umoja wa Mataifa wakasema watakuwepo"

"Marekani itakuja na Ujerumani"

" Majeshi yote na ya Nyoko nyoko"

"Na mafyoko nyongo"


Kubabake

Nyoko nyoko na fyoko nyoko

Hahahahahahahahahahah

Mtoto mngemse kweli yule sijui kajifunza wapi uhuni

Nchi imejaa vituko vitupu bando ukose tu wewe bababake

Yule akishikwa na Genz anatakiwa apigwe rombo
 
Bwana Habil and Kabil,alituchota sana..Sema mimi nilishashtukia utapeli wake mapema sana kabla hata hajapotea hewani nilishaacha kumchukua serious😀😀.
Mtoto mhuni kweli yule, hata mm nilishangaa sana aliyokuwa akisema, hayakuniingia kabisa akilini moja kama mbili, mbili kama nne sikumwelewa kabisa
Kila nikijifosi ikagoma kabisa
 
Dogo aliweza kwenda na trending sio mbaya hakuna aliyedhurika na uongo wake by the way.

Nilipenda jinsi anayatambua mambo mengi sana ya kiulimwengu napenda sana kuishi na watu kama wale.
 
Bwana Habil and Kabil,alituchota sana..Sema mimi nilishashtukia utapeli wake mapema sana kabla hata hajapotea hewani nilishaacha kumchukua serious😀😀.

Dogo aliweza kwenda na trending sio mbaya hakuna aliyedhurika na uongo wake by the way.

Nilipenda jinsi anayatambua mambo mengi sana ya kiulimwengu napenda sana kuishi na watu kama wale.
Asee, ukitafakari kiwango chake cha uwongo unashindwa kabisa kukipima, ni uhuni wa aina gani ule ,😁
 
Misikuwahi kumfuatilia yule mngese huwaga sipelekeshwi na upepo wa trends na shukuru sana Hilo Kwa kweli
 
Back
Top Bottom