Kwapa

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,580
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.

Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?


armpit-smell.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.

Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?


armpit-smell.jpg
Kuna vikwapa dizaini badala ya kumvutia mwanaume vinamfukuzilia mbali, usiombe ukakutana navyo vya namna hiyo.
 
Kuna vikwapa dizaini badala ya kumvutia mwanaume vinamfukuzilia mbali, usiombe ukakutana navyo vya namna hiyo.

Imagine kuna vikwapa vingine hata ukipishana na mtu tu unalisikia balaa lake sasa imagine NN anavyosema atafanya kila liwezekanalo angalau aone kwapa mbona ile harufu yake tu itairudisha dhamira yako nyuma
 
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.

Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?


armpit-smell.jpg
duh kaka kweli unavutiwa na kwapa mie uwa kitovu cha mwanamke yaani nikipishana nae m/mke kitovu nje naweza hata kujikwaa kwa kuangalia ndio maana uwa nashinda kuangallia wacheza shoo wa Twanga na Ngwasuma napata burudani na kuona vitovu ndege wawili kwa jiwe moja
 
mmh we mkali dahh.ata kwapa lenye nywele ndeeeeeefu zenye rangi kama kahawiaa au km imeota mv iv pia wapenda?:bowl:
 
wajameni msiombe mkutane na kwapa linalotema lol utadhani umepishana na gari ya taka!
 
Hahahaa...Umenikumbusha mabli sana broda... miaka hiyo praimari skuli..nlikuwa na kipande cha kioo... ticha mnoko wa kike akipita kukagua madaftari darasani..akilipita dawati la kwangu akaenda lialofuata..basi kioo kinapenyezwa chini kati ya miguu yake wakati yeye yuko bize na kusahihisha...nilivyokuwa navpiga chabo.....Siri yangu!!!
 
Hahaha, JF kweli kiboko, umenikumbusha mbali kweli!
Hahahaa...Umenikumbusha mabli sana broda... miaka hiyo praimari skuli..nlikuwa na kipande cha kioo... ticha mnoko wa kike akipita kukagua madaftari darasani..akilipita dawati la kwangu akaenda lialofuata..basi kioo kinapenyezwa chini kati ya miguu yake wakati yeye yuko bize na kusahihisha...nilivyokuwa navpiga chabo.....Siri yangu!!!
 
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.

Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?

Wewe hujakutana na Makwapa, Hamu yako yote itakutokea puani.
 
Panda magari yanayoenda mbagala muda wa mchana kutokea feri theni simama katikati ya watu sitaji jinsia hapa then appetite ya kwapa itakuwa mwisho wake.
 
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.

Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?

Hauko peke yako!

Mimi pia ni mgonjwa hii kitu; kwa ujumla mie pia ni mgonjwa wa nywele za huko na kuleeeeeeeee!

Sasa sisna ushahidi wowowte wa kisayansi ila kwa kweli Hata kama nilisusia game kiasi gani basi Mama jr hujitia kunikaba akihakikisha kuwa pua itabanwa kwa muda pale kwenye kwapa yaani hapo hata kama nilikushikia bunduki mdada lazmia niiachie kwa mzuka! :becky:
 
Panda magari yanayoenda mbagala muda wa mchana kutokea feri theni simama katikati ya watu sitaji jinsia hapa then appetite ya kwapa itakuwa mwisho wake.

hivi tumewakosea nini sisi wa mbagala??kwanini usiseme panda daladala mchana....mpaka utaje mbagala.....
 
Makwapa mengine utafikiri mfuniko wa septic umeondolewa. Kero kweli.
 
kwapa zingine unaweza ukapata kihindihindi... japo nasikia kuna wengine hawasafishi wakiamini kuwa zina mvuto wa ki-mahanjumati!!!
 
jamani vikwapa siyo TZ kwetu tu :nono: hata huku maeneo ya watu, ukiingia kwenye mabasi yao wanayaita ( gon gon chicha) mh vikwapa mtindo mmoja.Tena wenyewe hawanyoi basi mh hatari tupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom