Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Mimi sijui nina nini tu na kwapa la mwanamke. Huwaga nikiona mwanamke kavaa nguo (gauni, blauzi, n.k.) ambayo haina mikono (sleeveless) lazima nitajitahidi kumwangalia kwenye kwapa lake. Yaani nitafanya kila niwezalo ili nilione. Nitageuka, nitajifanya nimeangusha kitu kwa hiyo nitainama n.k.
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.
Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?
Akinyanyua mikono ndio kabisa nashindwa kujiuzia. Lazima nipige chabo.
Je kuna ukweli wowote kuhusu ile nadharia ya kwapa? Kwamba harufu fulani na mwonekano wake vinatoa kemikali ambazo humvutia mwanaume?