Dakika 9 ( 8:40 - 8:49am) zimefikisha ujumbe. Asante sana MKJJ.
Siasa zile zilikuwa za ujamaa na kujitegemea. Zilikuwa zina aina mbili ya approach. Serikali ilikuwa itoe huduma muhimu za kijamii wakati wananchi wajishughulishe katika kuhakikisha wanazalisha mali. Sioni ubaya katika lile.Kutoa ni moyo si utajiri..wahenga walinena
Nafikiri tumewafundisha watu wetu kusaidiwa na si kusaidia...(mistake)
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Mindset for 26 years of ujamaa na fikra sahihi, kizazi kimeharibika vibaya..tujitahidi kuwaelemisha watoto wetu waondokane na mindset ovu.
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Mindset for 26 years of ujamaa na fikra sahihi, kizazi kimeharibika vibaya..tujitahidi kuwaelemisha watoto wetu waondokane na mindset ovu.
Watanzania na Waafrika kwa ujumla wao wanapenda kuchangia pale ambapo kuna mnufaiko wa namna fulani utakaotokana na mchango atakaotoa. Manufaa hayo yapo ya aina nyingi kutegemea na anayechangiwa
 Wakati wowote yanapotokea majanga, aidha ndani ya nchi zao u hata nje ya nchi zao raia wa nchi zilizoendelea wamekuwa na haraka ya kusaidia na kutoa misaada kwa haraka zaidi. Ninauliza hili nikilinangisha na mwitikio wa watu wetu kwenye majanga vile vile.
 Leo hii wakati Haiti imekumbwa na tetemeko la ardhi, tayari wenzetu wameshaweka utaratibu wa watu wa kawaida kuchangia taasisi mbalimbali ikiwemo chama cha msalaba mwekundu. Na tayari hadi watoto wa shule hapa nilipo wameanza kukusanya nguo na vyakula vya makopo kupeleka huko Haiti!
Kwanini sisi, inakuwa mbinde sana kujitokeza kusaidia!? Yawezekana ni kweli Mungu amewapendelea wenzetu hawa kwa kuwapa moyo wa ukarimu zaidi kulikop watu weusi? Yawezekana wenzetu wanajali wenzao hata wageni zaidi kuliko sisi wengine? Yawezekana labda sisi tunapenda sana kuzungumza na kuonesha madhaifu kuliko kuonesha mfano wa kutenda?
Na wale Watanzania ambao wamejitokeza kuchangia hadi hivi sasa ndugu zao waliopatwa na mafuriko yawezekana wamefanya hivyo kwa sababu ni matajiri zaidi au ni moyo wao wa kutoa?
Kwa kweli nahisi kuchanganyikiwa!
Ni kweli wako mstari wa mbele na mifano iko mmoja baada ya mwingine. Rejea Tsunami na majanga mengine yaliyopita.Aksante sana kwa swali hili, kwanza kabisa sio kweli kwamba wenzetu wako mstari wa mbele ki hivyo.
Nafsi zinawasuta kivipi? Na kwani sisi hatuna nafsi? Pengine hatuna maana tulikaa tukawaachia WaRwanda waune mmoja mmoja hadi kufikia milioni.Wenzetu kwa mfano UK ni nafsi ambazo zinawasuta, wakati wao wanapata kila kitu kutokana na system yao jinsi inavyofanya kazi.
Hii ni victim mentality ambayo naipinga. Mtu unapodhulumiwa na unajua na kutambua kuwa unadhulumiwa lakini unaacha hiyo dhuluma iendelee, basi wewe ni mtu mwenye matatizo ya asili na unastahili kudhulumiwa hadi siku yako ya kufa.Na kwa viongozi ni zaidi kuona aibu jinsi wanavyowadhulumu nchi za dunia ya tatu katika price fixing nk. Na wao kutambua fika kwamba bila hawa masikini hawawezi kufaidi keki.
Ni kweli wako mstari wa mbele na mifano iko mmoja baada ya mwingine. Rejea Tsunami na majanga mengine yaliyopita.
Nafsi zinawasuta kivipi? Na kwani sisi hatuna nafsi? Pengine hatuna maana tulikaa tukawaachia WaRwanda waune mmoja mmoja hadi kufikia milioni.
Hii ni victim mentality ambayo naipinga. Mtu unapodhulumiwa na unajua na kutambua kuwa unadhulumiwa lakini unaacha hiyo dhuluma iendelee, basi wewe ni mtu mwenye matatizo ya asili na unastahili kudhulumiwa hadi siku yako ya kufa.
Hapa nafikiri tuko level tofauti sifahamu nikusaidie vipi.
Nop.