Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
LANCE AMSTRONG ,bingwa wa Tour de FRANCE amepledge kutoa $250000/=
kusaidia Tanzania?
LANCE AMSTRONG ,bingwa wa Tour de FRANCE amepledge kutoa $250000/=
Ndugu yangu Mwanakijiji hii ni bongo bwana hatuaminiani wachangishaji wenyewe ndoo hao hao, nasikia watu wamejenga kwa misaada ya mabomu ya Mabagala, kile kitengo cha maafa kilicho chini ya PM wakipokea misaada 10% ndiyo inaenda kwa walengwa 90% hujui inakwenda wapi utakuwa na moyo tena wa kuendelea kutoa.
Umesema hapo ulipo watu wameanza kutoa misaada pamoja na nguo sasa ni tofauti na huku bongo leo nikitoa shati uwapelekee walengwa kesho yake nakuona wewe tena umelivaa ni kazi kweli kweli bongo.
Na mimi nimejiuliza sana nilisikia BBC nchi zikitajwa kama Marekani,canada,uingereza,ufaransa,china cha ajabu sikusikia hata nchi moja ya AFRICA nimejiuliza ila sina majibu.Wakati wowote yanapotokea majanga, aidha ndani ya nchi zao u hata nje ya nchi zao raia wa nchi zilizoendelea wamekuwa na haraka ya kusaidia na kutoa misaada kwa haraka zaidi. Ninauliza hili nikilinangisha na mwitikio wa watu wetu kwenye majanga vile vile.
Leo hii wakati Haiti imekumbwa na tetemeko la ardhi, tayari wenzetu wameshaweka utaratibu wa watu wa kawaida kuchangia taasisi mbalimbali ikiwemo chama cha msalaba mwekundu. Na tayari hadi watoto wa shule hapa nilipo wameanza kukusanya nguo na vyakula vya makopo kupeleka huko Haiti!
Kwanini sisi, inakuwa mbinde sana kujitokeza kusaidia!? Yawezekana ni kweli Mungu amewapendelea wenzetu hawa kwa kuwapa moyo wa ukarimu zaidi kulikop watu weusi? Yawezekana wenzetu wanajali wenzao hata wageni zaidi kuliko sisi wengine? Yawezekana labda sisi tunapenda sana kuzungumza na kuonesha madhaifu kuliko kuonesha mfano wa kutenda?
Na wale Watanzania ambao wamejitokeza kuchangia hadi hivi sasa ndugu zao waliopatwa na mafuriko yawezekana wamefanya hivyo kwa sababu ni matajiri zaidi au ni moyo wao wa kutoa?
Kwa kweli nahisi kuchanganyikiwa!
Wakati wowote yanapotokea majanga, aidha ndani ya nchi zao u hata nje ya nchi zao raia wa nchi zilizoendelea wamekuwa na haraka ya kusaidia na kutoa misaada kwa haraka zaidi. Ninauliza hili nikilinangisha na mwitikio wa watu wetu kwenye majanga vile vile.
Leo hii wakati Haiti imekumbwa na tetemeko la ardhi, tayari wenzetu wameshaweka utaratibu wa watu wa kawaida kuchangia taasisi mbalimbali ikiwemo chama cha msalaba mwekundu. Na tayari hadi watoto wa shule hapa nilipo wameanza kukusanya nguo na vyakula vya makopo kupeleka huko Haiti!
Kwanini sisi, inakuwa mbinde sana kujitokeza kusaidia!? Yawezekana ni kweli Mungu amewapendelea wenzetu hawa kwa kuwapa moyo wa ukarimu zaidi kulikop watu weusi? Yawezekana wenzetu wanajali wenzao hata wageni zaidi kuliko sisi wengine? Yawezekana labda sisi tunapenda sana kuzungumza na kuonesha madhaifu kuliko kuonesha mfano wa kutenda?
Na wale Watanzania ambao wamejitokeza kuchangia hadi hivi sasa ndugu zao waliopatwa na mafuriko yawezekana wamefanya hivyo kwa sababu ni matajiri zaidi au ni moyo wao wa kutoa?
Kwa kweli nahisi kuchanganyikiwa!
Mwanakijiji,
Tafadhali hebu tuwe genuine kwa hili:
3. Pamoja ya kuwa kutoa si utajiri sawa kabisa, tukirudi kwenye grassroot, kule kwenye mila zetu, bado hadi leo tunasaidiana. Ila tu huu mchanganyiko wa mila na mila na dini na dini sasa hivi kweli hatujui culture yetu ipo wapi na wengi wameshpoteza hata culture zao, na kujiita vingine, kama wakristu,waislam, wapagani nk. Hiyo ndiyo kweli victimization ya culture zetu baada ya ile partition ya Africa. Mipaka haikujali culture.
Sidhani kama hii ni kweli. Inapotokea michango wa harusi pale dar, utashangaa kuwa wachangiaji wanatoka sehemu zote za Tanzania. Nilishudia harusi moja ya ndugu yangu tukapokea michango kutoka kwa akina Mapunda, Rugemalila, Shekimweli, Mwakatumbula, Ole Saibul, Mrema, Shayo, Msuya, n.k
- Hivi wazungu kina Bush si walikwepa kusaidia weusi kule New Orleans au?
Respect.
FMEs!
.. we are not different from wazungu after all!!
I'm really proud of those Tanzanians who waited not to come to the assistance of their fellow Tanzanians. I'm humbled and totally awed by your contributions and help in the hour of their needs. You have raised to the occasion and seized the moment! It just give me an idea of what kind of change we need.
As I have said several times now, change is not something we hope for or pray for; change is something we bring. This is just the beginning.
Mwaka huu tutatoka kwenye kulalamika na kuhamasika kifikra, tunataka tutende. Tumejaribu katika suala hili la majanga and I hope in the near future we will show leadership in something more substantial and transformational. We are putting those in power on notice; change or you will be changed!
Thanks a million for you kind heart.. we are not different from wazungu after all!!
Waswahili walisema "Wema usizidi uwezo"
Kutoa ni moyo si utajiri..wahenga walinena
Nafikiri tumewafundisha watu wetu kusaidiwa na si kusaidia...(mistake)
Source ni ujamaa wa nyerere na kawawa kwamba serikali itakusaidia huduma, itawasaidia waathirika na si mwananchi atajisaidia, na atasaidia na wengine kwa moyo wake wote
Mindset for 26 years of ujamaa na fikra sahihi, kizazi kimeharibika vibaya..tujitahidi kuwaelemisha watoto wetu waondokane na mindset ovu.
Kwanini sisi, inakuwa mbinde sana kujitokeza kusaidia!?
Kwa kweli nahisi kuchanganyikiwa!
hakuna uwezo mkubwa kuliko wema.. usiamini kila waswahili wasemavyo.
Celebs who are reaching outBrad Pitt and Angelina Jolie: Donated $1 million to Doctors Without Borders
Ben Stiller: Redirecting donations from his stillerstrong.org to emergency relief efforts
Madonna: Donating $250,000 to to Partners In Health
Wyclef Jean: Helping his Haitian charity Yele raise funds
George Clooney: Pairing with MTV to stage telethon for earthquake relief
Lance Armstrong: His LiveStrong foundation pledged $250,000 to relief charities
Eddie Izzard: Donated to the Haiti earthquake fund via Care.org
Coldplay: Donated to Oxfam.org
Hollywood Foreign Press Association: Donated $100,000 to Yele
Gisele Bundchen: Donated $1.5 million to the Red Cross
Alyssa Milano: Donated $50,000 to UNICEF
Sandra Bullock: Donated $1 million to Doctors Without Borders
Tyler Perry: Donated $250,000 via his foundation
Unalaumu ujamaa. Waulize jirani zetu Kenya na ubepari wao ikiwa wanasaidiana kuliko sisi.