Kwanini Waziri Mulamula akimaliza kuongea na Mabalozi wa nje huwa hatupi ufafanuzi kama alivyokuwa akifanya Profesa Kabudi?

Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Liberata Mulamula yuko fully loaded Kama Minister wa Foreign. Kalamaganda alikuwa mbabaishaji na isitoshe alikuwa anapenda sifa kama Mwendazake
 
Ila naona Prof. alipo sasa anafit sana, sijui kwa nini mwendazake alifanya ile exchange ya Mahiga na Prof. , yalikuwa mabadiliko ya ajabu sana.
Prof Kabudi hata pale hafiti kabisa. Hekima ya Rais SSH tu ndiyo imewafanya waendelee kuwa Mawaziri kwa kuwa angewaleta wapya kungekuwa sintofahamu nyingi kwenye kutawala.

Kabudi anachokosea ni kusahau kuwa audience alizonazo sasa siyo zile lecture rooms za UDSM alizokuwa anawajaza wanafunzi takataka alizo cram bali ni Bunge, cabinet au hadhira za public ambazo zina watu wenye uelewa mkubwa kuliko yeye
 
Fala sana wewe boya,kizazi cha nyoka mbwa wewe,kabudi alikuwa liongo Kama Magufuli,hao mabeberu wanafanya nini Tanzania? Kama ni adui zenu wafukuzeni wanafiki kondoo pori mbwa,shenzi zenu mbwa nyie....
Tukana tena meku hayo matusi yako ni kachumbari tu!
 
..Nakumbuka Prof.Kabudi aliwahi kuitisha press conference akatuambia Tz imeingia mkataba na Barrick wa kugawana 50 / 50.
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
MulaMula anajielewa.
 
Kwahiyo kukaa kimya ndio kuiva kidiplomasia au unamaanisha diplomasia ya jikoni kwamba tunyamaze tusubiri msosi mezani. Acheni ujuaji
Hujuo chpchpte kuhusu mazungumzo ya kidiplomasia.

Ni lazima mkubaliane pande zote, kipi cha kuweka public, na kitolewe lini, siyo unatoka na kuanza kubwabwaja.

Ukiwa kiongozi, hasa kiongozi mkubwa, usipende kuongea mara kwa mara, kama alivyokuwa anafanya marehemu. Nadhani unafahamu, jinsi marehemu alivyokuwa anachemka kwa kauli za ajabu ajabu.
 
Nakushuru Mkuu wa kuleta mada hii. Mungu akubariki sana ndugu yangu kwa kuamsha vichwa vya wazalendo wenzako.

Mimi kusema ule ukweli sina imani kabisaa na huyu waziri. Sioni kama ni mzalendo wa kweli kama vile alivyokuwa Prof. Kabudi na naona yeye ni ile jamii ya watu ambao wanapenda sana kuwatukuza wazungu na kuwaona wao ni bora kuliko sisi (wao ni miungu mtu), I am sorry kwa kuwaza hivyo. Naomba hapa nikufafanulie kidoogo. Kama kuta kuwa na watu wenye mtazamo mwingine mbali na wangu mnaweza mkanisahihisha, kwani mimi ni siku hiyo moja tu ndiyo niliyokutana na Prof. Kabudi.

Prof. Kabudi kachukua PhD yake Ujerumani na kwa jinsi nilivyo mwona inawezekana akawa anazungumza vizuri sana kijerumani kuliko hata kiingereza. Wakati akiwa huko masomoni nina uhakika amewasoma vizuri sana wazungu na anawaelewa vizuri sana. Kwa jinsi nilivyo msoma naweza sema kuwa yeye ni kati ya watanzania wachache ambao wanaweza wakamsikiliza mzungu kwenye mazungumzo na kujua au kutambua moja kwa moja kuwa huyu ni mzungu wa aina gani na lengo lake ni lipi? Ama kweli ni watu wenye uelewa mpana sana wa binadam.

Mimi nashukuru kupata bahati ya kuketi naye kwenye mazungumzo na wasomi wengine huko Berlin nchini Ujerumani, kwangu ilikuwa ni mara ya kwanza kumsikia na kumwona, wakati huo bado akiwa Prof. wa Chuo kikuu cha DSM, akitusimulia kuhusu mambo ya muungano wetu na muungano wa wajerumani na akifafanua tofauti za faida na hasara za hizo systems mbili za muungano. Mimi sikumjua kabisaa! Na kusema kweli nilifarijika sana na darasa lake siku hiyo kiasi kwamba niliuona uzalendo wake kwa nchi yetu. Katika mazungumzo hayo nami sikuwa domant, nilihoji sana kiasi kwamba ikafika wakati akatambua kuwa mimi ni mtu wa aina gani na kwa hali hiyo naweza sema niliamsha interest katika nafsi yake kiasi kwamba ikafika wakati kila nilichokuwa nikihoji nilipata jibu ambalo nilifarijika nalo. Kuanzia hapo nilitambua uwezo wake katika kuutambua ulimwengu, kwani nami kidogo historia ya ulimwengu naipata.

Kutokana na mazungumzo yale mimi sikujisikia amani moyoni, nilijiuliza sana, kwanini watu kama hawa hawapewi madaraka makubwa ya uongozi serikalini? Namshukuru mungu alisikia kilio changu, kwani hatimaye Hayati Rais wa wanyonge Dr. JPM alimteua kuwa waziri wa sheria na katiba. Binafsi nilifarijika sana na uteuzi ule na baadae faraja ikaongezeka zaidi baada ya kusikia amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje, kwani nilitambua kuwa sasa yuko kwenye element yake. Na nafikiri hiyo ndiyo sababu iliyo mfanya hata Hayati Rais wetu mpendwa JPM kumpa uwaziri wa nchi za nje.

Prof. Kabudi ni thawabu ya watanzania kutoka kwa mungu. Watakao mkebei yeye ni kwamba kwa vile hawamjui yeye na hali halisi ya ulimwengu na mwenendo wa wazungu. Na kwa hali hiyo naweza sema tena kwamba sina uhakika kama Rais wetu wa sasa Mama Samia Suluhu Hassan kweli huyu jamaa anamjua vizuri. Angemjua vizuri sidhani kama angechukua maamuzi kama hayo aliyo yachukua. Simpigii debe, ila ningewaomba kaane naye na jaribuni kumhoji maswali mazito yanayo husu ulimwengu na tabia za watu tofauti. Mtafarijika sana na kupata darasa ambalo hamtalisahau.
@Maneno Meier Kwanza nina swali kwako, Je ni fahari kuongoza wanyonge?

Kabudi anaweza kuwa very intelligent kusoma mawazo ya mtu kama usemavyo lakini haiondoi ukweli kuwa anapenda sifa zisizo na umuhimu, hana njia sahii za kutatua matatizo, anaamini yeye anajua kila kitu kitu ambacho sio kweli.

Kitu kingine jua kuwa sio kila intellectual au intelligent anafaa kufanya maamuzi.

Most of intelligent people lacks wisdom and humanity. I think this is the case here.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
@Maneno Meier Kwanza nina swali kwako, Je ni fahari kuongoza wanyonge?

Kabudi anaweza kuwa very intelligent kusoma mawazo ya mtu kama usemavyo lakini haiondoi ukweli kuwa anapenda sifa zisizo na umuhimu, hana njia sahii za kutatua matatizo, anaamini yeye anajua kila kitu kitu ambacho sio kweli.

Kitu kingine jua kuwa sio kila intellectual au intelligent anafaa kufanya maamuzi.

Most of intelligent people lacks wisdom and humanity. I think this is the case here.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
DENLSON kabla sijajibu swali lako ningependa kwanza kukuomba ufahamu kuwa matumizi ya hili neno mnyonge ni relative. Kwa kutambua kuwa binadam tumezaliwa na uwezo tofauti, ni kitu cha kuelewa kuwa wapo ambao hili neno linaweza kuwa kwaza kulingana na status au uwezo ambao wamejaliwa nao na kuna wale ambao kwa akili na maarifa waliyonayo wao wanajiona bado wako upande wa watu dhaifu na wasio na uwezo mkubwa, of course itakuwa ni faraja kwao kuwa na mtu ambaye atawaongoza. Hapa ninamaanisha kuwa unalitumia hili neno kutoka upande wa interest mtu alio kuwa nao. Na kama utakavyo jua kwa vile watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini wao waliji-identify wenyewe kuwa ni wanyonge na hivyo kumwona Hayati Rais Magufuli kama ni mkombozi wao.

Sioni vizuri kumjaji Prof. Kabudi kulingana na mwenendo wake, kwani nahofia kuwa nawe unaweza ukawa unafanya makosa yale yale ambayo wewe hupendezewi nayo kwake. Kama nilivyo kuwa nimeeleza kwenye hoja yangu kuwa mimi nilikutana naye kwenye mazingira mengine Berlin mara hiyo moja tu na nilimjaji kulingana na uelewa wake wa mambo ambayo mimi nilifarijika nayo katika darasa alilolitoa kwangu na wengine walio kuwepo kwenye mazungumzo yale.

Nakubaliana na wewe kuwa "some intelligent people lack wisdom and humanity, but there are so many intellectuals who are humble and capable of making right decisions according to the given situations." Matatizo unayo yaona kwa Prof. Kabudi nafikiri ni ile hali yake anavyo jipa jipa. Mimi kwa upande wangu sioni kama ni swala kubwa sana kwani ni tabia ya binadam kuwa na mwenendo huo alio nao.

Aisee kama unawapenda watu wenye uelewa mpana wa maisha ya binadam ulimwenguni kama alio nao Prof. Kabudi basi ningekushauri siku ukae naye na upate darasa lake, nafikiri utakuwa na mtazamo mwingine kuhusu yeye. Prof. Kabudi ni thawabu kutoka kwa mungu. Kuwa na shukrani kwa mungu kwa kuijalia nchi yetu kuwa na watu kama yeye. Mbona kwenye lile sakata la Barrick alilitatua vizuri? Wewe huoni faraja ya kuona nchi yetu ina hisa kwenye kampuni ambayo ilikuwa inachimba madini yetu, lakini sisi wenyewe hatufaidiki?

Unaona jinsi wanyonge wanavyo hoji jinsi ya kuondekewa na Kiongozi wao?
 
Kwahiyo kukaa kimya ndio kuiva kidiplomasia au unamaanisha diplomasia ya jikoni kwamba tunyamaze tusubiri msosi mezani. Acheni ujuaji
basi nenda na wewe kaongee kwa sauti kubwa huku umekodoa macho kama Kabudi. Diplomasia ni pamoja na utulivu wa mazungumzo. Balozi Mula mula ndio mtu sahihi hapo.
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Kaa kimya wewe dawa ikuingie . Ufafanuzi wa nini wakati yule anawakilisha watanzania? Mbona hukuomba ufafanuzi mrefu wakati wa manunuzi ya ndege???
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Chumvi ikiwa nyingi kwenye chakula hakiliki
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Kibaraka
 
Back
Top Bottom