Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,133
Huku Zanzibar kuna mgawanyiko mkubwa kisiasa. Mzee Mwinyi anafanya vizuri sana kuleta maendeleo lakini hakubaliki. Baadhi ya factors zinazofanya asikubalike ni hizi hapa.
1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo
Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.
1. Siyo Mzanzibari
2. Anadaiwa kudharau kila kiongozi aliyepo chini yake
3. Anawafokea na kuwanyanyapaa viongozi wenzake hata wale wanaomzidi umri
4. Anaamini zaidi kwa wazanzibari waliopo nje ya nchi kuliko wakaazi wa Zanzibar hasa kwenye utawala
5.Anatumia zaidi mfumo wa kijeshi kuliko mfumo wa kiraia kusimamia mambo
Mfumo wake umemsaidia sana kuachana na lele mama ya wazazibar wengi na kuwalazimisha wawe strong. Pamoja na maendeleo itamlazimu kutumia zaidi jeshi na Tume ya Uchaguzi kumrejesha madarakani la sivyo anatarajiwa kutawala kipindi kimoja.