Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

Mkuu umeniwahi nlotaka kuchangia kama wewe. Kuthibitisha angalia jamii za tz ambapo ugali sio chakula kikuu ni watu wenye uwezo mkuba kiakili. Wachaga, wahaya na wengineo angalia mmasai aliefanikiwa kwenda shule uwezo wao ni mkubwa sana.
Achana na hii imani man. Wajaluo wanakula ugali daily hapo Kisumu na wana IQ kubwa tu..
 
Maadamu umesema una amini basi hata siwezi nikakukosoa sababu maana ya kuamini ni ku accept uwepo wa kitu flani pasipo kuwa na uthibitisho wa uhakika wa uwepo wa kitu hicho.

Hivyo basi kwa sababu sisi tuna IQ ndogo hatujui sababu ni kwanini ila tuna amini tu, na hao waliotuzidi IQ hatujui ni kwanini wametuzidi ila tuna amini tu.

Ila tu ni kwambie kitu hizi mambo mambo za kuamini amini tu ni moja wapo ya sababu ni kwanini sisi weusi tuna IQ ndogo kulinganisha na watu wa races zingine kwa sababu ni mzizi wa laziness.
Noted.. Uwe na usiku mwema
 
Achana na hii imani man. Wajaluo wanakula ugali daily hapo Kisumu na wana IQ kubwa tu..

Mkuu umlo kamili unafanya ubongo uwe active pia pamoja na upatikanaji wa oxygen yakutosha muda wa kupumzika kama usiku muda wa kulala
Ndio maana unashauriwa unapo jifunika kichwa ukiache wazi ili uweze vita hewa vizur na kuwa active zaid
Ukikosa oxygen yakutosha ktk ubongo unaweza pata maumivu ya kichwa makubwa.
Pia jambo lingine tumekuwa wavivu wakuendeleza frikra zetu kwa kuweka kumbukumbu na kujua jana uliwaza nin ili leo uweze endeleza ulilowaza jana
Matokeo yake kila siku waafrika au watanzania tunaamka na jambo jimya unasahau hata jana ulisema nin na kuwaza nin
 
Hivi ilikuwaje mpaka tukatawaliwa?....Tumeletewa hadi dini ila sisi hatujapeleka dini yoyote amerika au ulaya
 
Ukiingia weusi utakuwa wakati wa kulala au kupumzika, na ukiingia weupe wakati wa kuhangaika na pirika. Kwahio jibu lako lipo hapa watu weusi hatujaletwa duniani kuhangaika bali kupumzika tu. Na hao weupe ndio wapo na mahangaiko yao ya kidunia wakati sisi huku mabwanyenye tumetulia.



Ndukiiiii
 
Hizi sababu hazina mashiko kwenye ugali unaopikwa kutumia mahindi tunaangalia kwenye mahindi kuna vitamini gani???
Hata hao mnaosema hawali ugali lakini wanakula vyakula vingine vinavyotengenezwa kutumia mahindi
Usije ukajidanganya ngozi nyeupe azili ugali hata kidogo. Kwanzaa ngozi nyeupe wanalima mahindi kwa ajili ya wanyama.
Ngozi nyeupe wanakula ngano yenye kiwango kikubwa cha virutubisho,
 
Naona tuna tatizo linalofanana la kuukumbatia mfumo ambao siyo rafiki kwa Afrika hivyo kushindwa kuitumia hiyo elimu katika mazingira yetu.
Mfano Nigeria wana vyuo vikuu vingi hivyo watu wengi huhitimu lakini bado ugunduzi na uvumbuzi wa maswala mbali mbali bado wanaachwa mbali

Mkuu kuna kitu ambacho naona bado waafrika tunakosea hapo kwenye elimu, mfumo wetu wa elimu umekaa kama script ya movie yaani una muandaa mtu ku digest kile anachofundishwa darasani kwanzia ngazi ya awali mpaka ana maliza chuo na hatimae kwenda kufanya kazi inayohusiana na kile alichofundishwa huko, na sio kumuandaa mtu kutumia kile alichofundishwa darasani kwa ajiri ya kupanua wigo wake kifikra hili kufanya vitu ambavyo ni exptional.

Na ndio maana tunaona nchi kama nigeria,egypt,south africa pamoja na kuwa na idadi kubwa ya wasomi lakini hatuoni innovators wakitoka katika nchi hizo kwa sababu mifumo yetu ya kielimu ina limitations ambazo zina mfanya mtu aconcetrate zaidi na kile anachosomea na ina kuwa ngumu kuwaza beyond ya kile anachosomea.
 
Wenzetu pamoja na kuumbwa na Mungu lakini bado wanatengenezwa/wanaandaliwa na wazazi wao kwa jambo fulani, siyo kama sisi unajiendea kama kondoo asiye na mchungaji. Kila jambo linahitaji maandalizi
wewe utakuwa na matatizo ya problem
 
Wenzetu pamoja na kuumbwa na Mungu lakini bado wanatengenezwa/wanaandaliwa na wazazi wao kwa jambo fulani, siyo kama sisi unajiendea kama kondoo asiye na mchungaji. Kila jambo linahitaji maandalizi
wewe utakuwa na matatizo ya problem
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
Sio watu weusi tu!!!...hapaa na Waarabu nao IQ zao n less zan 1.....Wanavosema n black and arabs
 
Watu weusi wakilala hujishika wapi? Hilo ndio jibu ndio mana mambo kama big brother tunashinda ha a watanzania
 
Nafikiri wewe ndio una IQ ndogo,
Huenda yako ikawa ni -0.000000000000007
Haya mambo ya kujiona kujishusha ni ya kijinga kabisa.
Ha ha ha nakubaliana naww kwa upande mmoja na napingana na ww kwa upande mwingine!!...sio kumtukana mleta Maada ye kaja na vielelezo!!.... Kwa upande mwingine n kweli Leo Afrika tunasumbuliwa na vitu ambavyo wenzetu walishavimaliza Siku nyingi njaa,umaskini ,magonjwa ya mlipuko na ujinga!!..miundo mbinu duni
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
Coz of kutawaliwa na ccm
 
Hivi ilikuwaje mpaka tukatawaliwa?....Tumeletewa hadi dini ila sisi hatujapeleka dini yoyote amerika au ulaya

Hili swali la msingi sana, ni kwanini tulitatawaliwa wakati tunaambiwa wanadamu wa kwanza kabisa waliishi afrika!? Na kwa logic ya kawaida tu hapo ni kwamba afrika ndio maskani ya kwanza ya binadamu na hao binadamu wa mabara mengine ni either walitoka hapa hapa afrika au uwepo wao ulikuja kwa baadae sana wakati huo tayari binadamu wa afrika akiwa ni kiumbe endelevu.

Sasa ni kwanini jamii ya kwanza duniani ije itawaliwe na jamii nyingine ambayo kihistoria ni changa? Iipata wapi akili za kutawala jamii ya kwanza?
 
Fine, tuliletewa elimu ili tuendelee kuwa vibaraka na tuendelee kutawaliwa; Je ni miaka mingapi tangu mkoloni aondoke?
Tumefanya Nini ktk elimu ili kuondoa makando kando aliyopandikiza mkoloni?
Viongozi ndio kila kitu Mkuu.
 
Back
Top Bottom