Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,260
Kwanini wanawake wa kizungu wanaweza kuvaa vikaptula au nguo fupi sana zinazoacha sehemu kubwa ya maungo yao wazi na wakatembea mitaa kama ya Kariakoo bila shida yoyote au kusumbuliwa na Wanaume wa kibongo tofauti na Wanawake weusi wa kibongo ambao wakivaa hivyo wanapata kila aina ya usumbufu kutoka kwa Wabongo wenzao weusi.
Yani Mwanamke wa kizungu anaweza kupita hata amavaa boxer Kariakoo na hakuna atakayempigia miluzi, kelele, kumsonga au kumvuta tofauti kabisa na mwanamke wa kibongo ambaye akipita hivyo lazima mtaa mzima uvurugike kama wehu, wendawazimu au watu wenye mapepo na clips za huyo mwanamke zitapandishwa mitandaoni kujadiliwa!
Yani Mwanamke wa kizungu anaweza kupita hata amavaa boxer Kariakoo na hakuna atakayempigia miluzi, kelele, kumsonga au kumvuta tofauti kabisa na mwanamke wa kibongo ambaye akipita hivyo lazima mtaa mzima uvurugike kama wehu, wendawazimu au watu wenye mapepo na clips za huyo mwanamke zitapandishwa mitandaoni kujadiliwa!