Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

Kuna research ilifanyika mkuu matokeo yake ni kwamba blacks ndiyo tuna IQ ndogo kuliko binadamu wote duniani ambayo ni IQ ya 70.
Brainwashed... Not everything is what it seems to be...They are so busy in making black individuals feel inferior, and they are succeeding..... kwa maelezo yako.
 
Sio watu weusi tu!!!...hapaa na Waarabu nao IQ zao n less zan 1.....Wanavosema n black and arabs
Magonjwa ni kutokana na ukanda tuliopo
Na kila nchi na bara kuna watu uwezo wao wa kufikiri ni mdogo
Na ni hao hao ndio hutuletea hayo magonjwa
Ilihali biashara zao ziende.
 
Kuna research ilifanyika mkuu matokeo yake ni kwamba blacks ndiyo tuna IQ ndogo kuliko binadamu wote duniani ambayo ni IQ ya 70.
Brainwashed... Not everything is what it seems to be...They are so busy in making black individuals feel inferior, and they are succeeding..... kwa maelezo yako.
 
Brainwashed... Not everything is what it seems to be...They are so busy in making black individuals feel inferior, and they are succeeding..... kwa maelezo yako.

Sio kweli mkuu, utafit daima unafanywa kwa dada kutoka kwenye field
Kwanin isingeonekana Europe ndio wana iq kuwa kuliko asia
Hebu angalia attachment ya bwana youngblood
 
Baada ya wakoloni kuondoka ikafuata Nyerere kuhakikisha hapinduliwi, watu hawalali njaa, umoja, huku akiwa hayupo tayari kuufuata ubepari.
Sera za ulimu za kipindi hiko hazikua na msaada mpaka leo usimamizi na utekelezaji wa sera za elimu ni mtihani.

Yaani ni kama tumeamua tuwe tunafanya 'trial and error' katika elimu yetu, hapo ndipo tumekwama miaka yote kwakua hatujapata wa kuendeleza alichoacha mwenzake kila mmoja anakuja na jipya.
Sera za viwanda zilifanikiwa.tulikuwa mpaka spare za magari tunachonga.viwanda Mangula,kiltex,uda na kadhalika.tena vilizalisha kwa miaka mingi tuu.Wachina wameweza vuka toka mfumo mmoja kwenda mwingine bila matatizo.Sisi tumeharibu katika kumvuka toka socialism kwenda ubepari.tumeshindwa kutumia mtaji wa wanzilishi.kuna W atakaosema Nyumba ulianza kumporomokea mjengaji,kuna ukweli lakini alituonyesha kuwa Penye nia kuna njia.
 
Sio kweli mkuu, utafit daima unafanywa kwa dada kutoka kwenye field
Kwanin isingeonekana Europe ndio wana iq kuwa kuliko asia
Hebu angalia attachment ya bwana youngblood
Too bad. Mmeamua kuwa mifano. Yawezekana pia mkaamini kwamba "blacks" are minority. Wakati tume wa outnumber 4 times.
 
Sio kweli mkuu, utafit daima unafanywa kwa dada kutoka kwenye field
Kwanin isingeonekana Europe ndio wana iq kuwa kuliko asia
Hebu angalia attachment ya bwana youngblood
My point exactly.. umeamini hako ka diagram just because Asians are at number 1. They know how you think. Only wangejiweka wao on top position ndio ungedoubt ila wewe kuwekwa last position its ok? Think, it ain't illegal yet..
 
Too bad. Mmeamua kuwa mifano. Yawezekana pia mkaamini kwamba "blacks" are minority. Wakati tume wa outnumber 4 times.

Hapana kutambua wap tunakosea ndio jambo jema kuliko kulalamika kunadidimizwa japo kuna sehem kweli tunatendewa hayo.
Mfano mdogo naamin sote tumepita shule je wanafunz wengi tunasoma kuelewa au kufahuru mtihan
Hapo ikitokea somo halina mtihan hata kama linaumuhim bas watu wengi wanaweza wasijishughulishe nalo kabisa.
Ndio maana kuna baadhi ya watu wanaelimu kubwa unashindwa kuona utofaut wake na mtu mwenye elimu ya kawaida.
Lazima tujue kudocument idea zetu na kuziendeleza hapo tunaweza songa mbele
 
Hapana kutambua wap tunakosea ndio jambo jema kuliko kulalamika kunadidimizwa japo kuna sehem kweli tunatendewa hayo.
Mfano mdogo naamin sote tumepita shule je wanafunz wengi tunasoma kuelewa au kufahuru mtihan
Hapo ikitokea somo halina mtihan hata kama linaumuhim bas watu wengi wanaweza wasijishughulishe nalo kabisa.
Ndio maana kuna baadhi ya watu wanaelimu kubwa unashindwa kuona utofaut wake na mtu mwenye elimu ya kawaida.
Lazima tujue kudocument idea zetu na kuziendeleza hapo tunaweza songa mbele
Ndio umemaliza? Basi haya.
 
black sisi tunadumu wenzetu wanaishi unakuta wenzetu IQ wanaanza kutengeneza kuanzia mama mjamzito,unakuta wenzetu wanazingatia balance diet wanafazingatia mazoezi wanazingatia time lazma ata kizazi kizidi kuwa na IQ kubwa ssa uku Aftica maisha yetu tunayajua wenyewe au sijui ndo tunahusisha na imani za dini ndani kwasababu sometime ukijaribu kumake logic unaona kama sis black tulinyimwa kitu flani.
 
My point exactly.. umeamini hako ka diagram just because Asians are at number 1. They know how you think. Only wangejiweka wao on top position ndio ungedoubt ila wewe kuwekwa last position its ok? Think, it ain't illegal yet..

Sawa mku nakubaliana nawe kabisa
Lakin tuje kwenye uhalisia kwanin waafrika tumekuwa wazur wa kutumia na kurekebisha vitu vilivyo tengenezwa na wezetu baada ya kubuni nasi vitu vyetu na kuviendeleza
We are in demand side which is not good because we produce nothing rather exploiting our natural resources and export them without adding any value.
Unaweza kumbuka mpango ulionao jana, je leo umeuendeleza kwa kias gan au leo umeamka na mambo mapya
 
Zipo standardized universal tests zinazotumika kuangalia IQ za binadamu wote duniani,kama umesoma research nadhani utakuwa umenielewa ninachokiongelea hapa.
Unapimaje taifa lenye watu wenye elimu duni na taifa la walioelimika halafu ukawagrade pamoja kwa kuwapa mtihani uliotengeneza katika mazingira yako.walete hao wenye iq kubwa watupe porini wiki tuu .washindane na mtoto wa kimasai tuone nani atakuwa mshindi.Na kuleta uwiano hilo pori liwe geni kwa wote,ndani ya pori wawemo chui,simba,fisi,Nyoka.mshinda ana iq kubwa tuone.
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
Wamekosea, hao jamaa kuna kitu wamejaribu kupandikiza but kiukweli kabisa mtu yeyote black ana IQ kubwa sana kulipo binadamu wote. Kuna kitu wanaficha
 
black sisi tunadumu wenzetu wanaishi unakuta wenzetu IQ wanaanza kutengeneza kuanzia mama mjamzito,unakuta wenzetu wanazingatia balance diet wanafazingatia mazoezi wanazingatia time lazma ata kizazi kizidi kuwa na IQ kubwa ssa uku Aftica maisha yetu tunayajua wenyewe au sijui ndo tunahusisha na imani za dini ndani kwasababu sometime ukijaribu kumake logic unaona kama sis black tulinyimwa kitu flani.

Mkuu hiyo ni hatar sana
Binafsi huwa nawaza sana na bado nakosa majibu
Mfano nchin kwetu
Tunamagazati ya michezo, siasa, na udaku mengi sana kuliko magezeti ya mambo ya science na technology japo watu tuone picha na kusoma kwa lugha yetu juu ya uguduz uwezi ona jambo hilo.
Angalia vipind vya tv na radio zetu utaona bado jambo hilo linaukakasi
Redio pendwa utaona inavipind vingi vyakuchambua wasanii na wanasiasa kuliko mambo ya ugunduzi, kwa hali hiyo unafikir lin tutakuja badilika
 
Mungu alituumba hivyo, unajua kila race wameumbwa na vitu vyao special na mapungufu yao, ndio maana sisi tunatembea juani kwa madaha na watu weupe wanatembea kwa taabu juani, tofauti ni kwamba wenzetu wanajua wana mapungufu na kukubali changamoto na kuzitafutia suluhisho, sisi tunakataa tukiamini hakuna tatizo, lakini ukweli IQ zetu ni ndogo na badala ya kuandaa mfumo wa kuondoa hilo tunapambana kujilinganisha na wazungu, ukijumlisha na tunaongozwa na IQ ndogo, inakua ujinga juu ya ujinga
 
Ukiingia weusi utakuwa wakati wa kulala au kupumzika, na ukiingia weupe wakati wa kuhangaika na pirika. Kwahio jibu lako lipo hapa watu weusi hatujaletwa duniani kuhangaika bali kupumzika tu. Na hao weupe ndio wapo na mahangaiko yao ya kidunia wakati sisi huku mabwanyenye tumetulia.



Ndukiiiii
Af kama Kweli ujue
 
Mkuu kuna kitu ambacho naona bado waafrika tunakosea hapo kwenye elimu, mfumo wetu wa elimu umekaa kama script ya movie yaani una muandaa mtu ku digest kile anachofundishwa darasani kwanzia ngazi ya awali mpaka ana maliza chuo na hatimae kwenda kufanya kazi inayohusiana na kile alichofundishwa huko, na sio kumuandaa mtu kutumia kile alichofundishwa darasani kwa ajiri ya kupanua wigo wake kifikra hili kufanya vitu ambavyo ni exptional.

Na ndio maana tunaona nchi kama nigeria,egypt,south africa pamoja na kuwa na idadi kubwa ya wasomi lakini hatuoni innovators wakitoka katika nchi hizo kwa sababu mifumo yetu ya kielimu ina limitations ambazo zina mfanya mtu aconcetrate zaidi na kile anachosomea na ina kuwa ngumu kuwaza beyond ya kile anachosomea.
Uko sahihi kabisa mkuu na ndiyo hapa tunajikuta tunaona watu wa side B wana iq kubwa kwakua wanafanya ugunduzi na vitu kama hivyo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom