Kwanini watoto wengi wanaua mama zao?

Kwanza mengi uliyoongea ni kweli ila sisi tuna mafundisho tofauti ya kuwa usimuombee mabaya wala kumtamkia mabaya mwanao maana wewe ni mzazi na maneno yako yana nguvu sana kwa mtoto

Ukiwa unamlaani kila wakati au maneno mazito ya kashfa mwisho huwa mbaya

Lingine kuna wazazi huwa hawana aibu unakuta msichana bado mdogo mama anachepuka na jinsi mtoto anapozidi kukua anayaona yote

Mwisho wake mtoto anavunja unto na mama ndio kwanza anaingiza hawara nyumbani na mtoto akisikia kelele
Mwisho nae anatafuta fursa na mwanaume anakula kimasihara

Sasa mama anapokuja kugundua mtoto anamaliza kazi na huenda kwa msaada wa baba/mpenzi
Sasa hapo inataka detectives wa hali ya juu kupata mzunguko wote la sivyo kesi inaisha kwa mtoto kamuuwa mama yake kwa ajili ya mali

Na mahakama huwa zimo humu humu yaani tunawekewa picha tunafikia hukumu leo leo
 
Kumekua na ungezeko la watoto kuua mama zao wa kuwazaa hivi karibuni jambo linaloibua huzuni na hofu kwenye jamiii.

Asilimia kubwa imekuwa wahanga ni kina mama zaidi ya kina baba nimewaza jambo hili kwa kina ndani ya siku mbili hizi kuna mambo nayohisi yanaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa zaidi ya tamaa ya mali na kupenda starehe.

1-Maneno ya kina Mama kwa watoto.Wanawake wengi ni watu wa maneno wanapenda kuongea sana wanapokasirika na kutoa maneno mabaya kwa watoto wao kama kusema ndiyo maana huolewi,mbona mtu fulani kapata kazi wewe huna au mzazi wa kike anamwambia mtoto wake hapa nyumbani sio kwako hamna utakachokipata hapa hata tukifa/nikifa unategemea apo mtoto unamweka kwenye hali gani.

2-Kumnyima mtoto uhuru.Kina mama wengi wanapenda kuona watoto wao wanashinda nyumbani mtoto haruhusiwi kujichanganya na wengine.Mtoto saa kumi na mbili awe nyumbani mtoto anakosa furaha hamna kitu mtoto anapoanza kukua anakasirika kama kuona ananyimwa haki ya kua na watoto wengine au vijana wenzake tunajua dunia imeharibika ila sio sababu ya kuwanyima vijana kua na wenzake watoto wanachoka kukaa nyumbani na kuwachoka pia wazazi kutokana na masharti yao mengi yakiwa ni kuwanyima uhuru wao.

3-Wazazi kuwa wabinafsi.Kuna kina mama ukimwona anavyovaa na gari analoendesha na ukimwangalia na kijana wake tofauti iliyopo ni mbingu na ardhi hii inasababisha mtoto kuhisi mama hampendi na anajipenda yeye tu hiii huamsha hasira kali sana kwa mtoto na kuleta roho ya kisasi.

4-Chuki.Watoto wengi hua muda mwingi wanashinda na Mama zao kutokana na maisha ya kila siku kuna mambo hua yanatokea kati ya mama na mwanae mama anakua anamtishia mwanae akifanya kosa labda baba akija leo nitamwambia akuchape au leo hutakula hapa nyumbani hiii huleta chuki sana kwa watoto na kumchukia sana mzazi wake.

5-Msukumo kutoka kwa marafiki.Vijana hupenda kua na marafiki wa rika lao kuanzia mashuleni hadi mtaani hapa hukutana na mambo mengi na kulinganisha maisha yake na wengine mbona huyu mama yake anampa gari,mbona huyu anaruhusiwa kwenda kumbi za starehe hiii huleta chuki na ushauri kutoka kwa marafiki kwamba mama yako anakunyima gari, anakunyima kwenda club.

N:b haya ndio mambo niliyoyawaza mimi karibuni wengine kwa mengi au ushauri kuhusu mambo haya yanayoendelea kwenye jamiii hakika yanaleta huzuni kubwa
Wengine ni ushirikina tu. Masharti wanayopewa.
 
Ilitakiwa iwe hivi

Kwa nn wachaga wengi wanaua mama zao? Tuanzie hapo kwanza.
 
Hakuna fundi wa kulea ila lipo tatizo kwenye makuzi ya watoto

Tuwalee watoto wakue na kumjua Mungu ili hata wasipohofia walimwengu wakumbuke kuna Mungu na sheria zake

Na Mungu atusaidie
 
Ni watoto kuua ma single mama

Nafikiri muwashauri ma single mama wanapopambana kupata mali wasisahau kuwa na wanaume Ili kuondoa nafasi ya mtoto kufikiria akimuua mama Basi atabaki na mali maana anajua baba atabaki pia
 
1.Ndugu una story ngapi kuzipa hali ya wingi za mauaji hayo?
2. Hivi unaanzaje kumbamiza mzee mpaka umuue.. unaanzia wapi? Hawa wazee wenye pesa na biashara wote wandava.. mahitler. Wamekaa kichinjaji chinjaji. Hata sumu wanameza. Mabilionea wazee ndugu huwezi wasogelea ukafanya uzandiki huo.
Waliokaa nao karibu wanaume wenye pesa wanaelewa.
 
Kumekua na ungezeko la watoto kuua mama zao wa kuwazaa hivi karibuni jambo linaloibua huzuni na hofu kwenye jamiii.

Asilimia kubwa imekuwa wahanga ni kina mama zaidi ya kina baba nimewaza jambo hili kwa kina ndani ya siku mbili hizi kuna mambo nayohisi yanaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa zaidi ya tamaa ya mali na kupenda starehe.

1-Maneno ya kina Mama kwa watoto.Wanawake wengi ni watu wa maneno wanapenda kuongea sana wanapokasirika na kutoa maneno mabaya kwa watoto wao kama kusema ndiyo maana huolewi,mbona mtu fulani kapata kazi wewe huna au mzazi wa kike anamwambia mtoto wake hapa nyumbani sio kwako hamna utakachokipata hapa hata tukifa/nikifa unategemea apo mtoto unamweka kwenye hali gani.

2-Kumnyima mtoto uhuru.Kina mama wengi wanapenda kuona watoto wao wanashinda nyumbani mtoto haruhusiwi kujichanganya na wengine.Mtoto saa kumi na mbili awe nyumbani mtoto anakosa furaha hamna kitu mtoto anapoanza kukua anakasirika kama kuona ananyimwa haki ya kua na watoto wengine au vijana wenzake tunajua dunia imeharibika ila sio sababu ya kuwanyima vijana kua na wenzake watoto wanachoka kukaa nyumbani na kuwachoka pia wazazi kutokana na masharti yao mengi yakiwa ni kuwanyima uhuru wao.

3-Wazazi kuwa wabinafsi.Kuna kina mama ukimwona anavyovaa na gari analoendesha na ukimwangalia na kijana wake tofauti iliyopo ni mbingu na ardhi hii inasababisha mtoto kuhisi mama hampendi na anajipenda yeye tu hiii huamsha hasira kali sana kwa mtoto na kuleta roho ya kisasi.

4-Chuki.Watoto wengi hua muda mwingi wanashinda na Mama zao kutokana na maisha ya kila siku kuna mambo hua yanatokea kati ya mama na mwanae mama anakua anamtishia mwanae akifanya kosa labda baba akija leo nitamwambia akuchape au leo hutakula hapa nyumbani hiii huleta chuki sana kwa watoto na kumchukia sana mzazi wake.

5-Msukumo kutoka kwa marafiki.Vijana hupenda kua na marafiki wa rika lao kuanzia mashuleni hadi mtaani hapa hukutana na mambo mengi na kulinganisha maisha yake na wengine mbona huyu mama yake anampa gari,mbona huyu anaruhusiwa kwenda kumbi za starehe hiii huleta chuki na ushauri kutoka kwa marafiki kwamba mama yako anakunyima gari, anakunyima kwenda club.

N:b haya ndio mambo niliyoyawaza mimi karibuni wengine kwa mengi au ushauri kuhusu mambo haya yanayoendelea kwenye jamiii hakika yanaleta huzuni kubwa
Watoto wengi!???
Tangu 2015 mpaka leo ni kesi mbili tu zimetokea,hao watoto wengi walioua wazazi wao,weka takwimu hapa.
 
Iko hivi,hao wamame wanalipwa ile kitu inaitwa Karma,malipo hapahapa duniani,hao wamama waliua waume zao kisirisiri ili watumbue mali,sasa na wao wanauliwa na watoto zao,na watoto watafia getezani,ngoma droo
 
Kumekua na ungezeko la watoto kuua mama zao wa kuwazaa hivi karibuni jambo linaloibua huzuni na hofu kwenye jamiii.

Asilimia kubwa imekuwa wahanga ni kina mama zaidi ya kina baba nimewaza jambo hili kwa kina ndani ya siku mbili hizi kuna mambo nayohisi yanaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa zaidi ya tamaa ya mali na kupenda starehe.

1-Maneno ya kina Mama kwa watoto.Wanawake wengi ni watu wa maneno wanapenda kuongea sana wanapokasirika na kutoa maneno mabaya kwa watoto wao kama kusema ndiyo maana huolewi,mbona mtu fulani kapata kazi wewe huna au mzazi wa kike anamwambia mtoto wake hapa nyumbani sio kwako hamna utakachokipata hapa hata tukifa/nikifa unategemea apo mtoto unamweka kwenye hali gani.

2-Kumnyima mtoto uhuru.Kina mama wengi wanapenda kuona watoto wao wanashinda nyumbani mtoto haruhusiwi kujichanganya na wengine.Mtoto saa kumi na mbili awe nyumbani mtoto anakosa furaha hamna kitu mtoto anapoanza kukua anakasirika kama kuona ananyimwa haki ya kua na watoto wengine au vijana wenzake tunajua dunia imeharibika ila sio sababu ya kuwanyima vijana kua na wenzake watoto wanachoka kukaa nyumbani na kuwachoka pia wazazi kutokana na masharti yao mengi yakiwa ni kuwanyima uhuru wao.

3-Wazazi kuwa wabinafsi.Kuna kina mama ukimwona anavyovaa na gari analoendesha na ukimwangalia na kijana wake tofauti iliyopo ni mbingu na ardhi hii inasababisha mtoto kuhisi mama hampendi na anajipenda yeye tu hiii huamsha hasira kali sana kwa mtoto na kuleta roho ya kisasi.

4-Chuki.Watoto wengi hua muda mwingi wanashinda na Mama zao kutokana na maisha ya kila siku kuna mambo hua yanatokea kati ya mama na mwanae mama anakua anamtishia mwanae akifanya kosa labda baba akija leo nitamwambia akuchape au leo hutakula hapa nyumbani hiii huleta chuki sana kwa watoto na kumchukia sana mzazi wake.

5-Msukumo kutoka kwa marafiki.Vijana hupenda kua na marafiki wa rika lao kuanzia mashuleni hadi mtaani hapa hukutana na mambo mengi na kulinganisha maisha yake na wengine mbona huyu mama yake anampa gari,mbona huyu anaruhusiwa kwenda kumbi za starehe hiii huleta chuki na ushauri kutoka kwa marafiki kwamba mama yako anakunyima gari, anakunyima kwenda club.

N:b haya ndio mambo niliyoyawaza mimi karibuni wengine kwa mengi au ushauri kuhusu mambo haya yanayoendelea kwenye jamiii hakika yanaleta huzuni kubwa
Hujaandika kitu
 
Back
Top Bottom