Hili tatizo lipo kwa Watanzania wengi sana hata graduates kwenye kuandika maneno ya kiswahili lakini si Kiingereza.
Mfano graduate hawezi kosea akaandika gladuate, lakini mtu huyo huyo ramli anaweza akaandika lamli, au ramri.
Hivi tatizo ni nini haswa. Hebu wadau nipeni majibu ya maana
Mfano graduate hawezi kosea akaandika gladuate, lakini mtu huyo huyo ramli anaweza akaandika lamli, au ramri.
Hivi tatizo ni nini haswa. Hebu wadau nipeni majibu ya maana