Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 4,986
- 8,318
Acha ulimbukeni watu wanaathirika na lugha mama zao.....ata uwe ushuani kiaje lazima utakuwa na lugha mamaukifuatilia vizuri walio wengi ni vilaza hajaenda shule au kama amenda basi ameunga unga na akifuatilia kwa ukaribu maisha yake atakuwa ameishi uswahilini.
Msomi aliye elimika vizuri tungu mwanzo wa elimu kamwe hawezi kushindwa kutofautisha kati ya "R" na "L" chunguza utaona.