Jamaa muongo sana.Una maana gani unaposema 'kila mtu'?
Don't generalize. Not all Tanzanians including myself are against the vaccine. "Ni wewe tu na wengine waina yako mliokaririshwa na kulishwa dhana potovu ndiyo mnaopinga". It is simple: Take or don't take it.msimamo wa watanzania juu ya corona ni
1,corona ni ugonjwa wa mafua kama yalivyo mengine,na yuko tayari kuishi nao.
hata mheshimiwa anajua hilo,labda kuna namna anatafuta kuridhisha watu fulani.
kinyume na matakwa ya kusafiri nchi za watu hakuna mtu na akili timamu atachanjwa hiyo chanjo,labda wagonjwa wa akili.Don't generalize. Not all Tanzanians including myself are against the vaccine. "Ni wewe tu na wengine waina yako mliokaririshwa na kulishwa dhana potovu ndiyo mnaopinga". It is simple: Take or don't take it.
Kuna program inaitwa COVAX, chanjo za bei rahisi na kwa nchi nyingine wamepewa bure. Na wanaweza kuleta, zikauzwa;SAWA WALETE WASIJE WAKALETA MZIGO UTAKO EXPIRE PASIPO KUTUMIKA, NI HASARA KWA TAIFA
Hivi umetumia mechanism gani kujua kila mtu anasemaje kuhusu hilo mtaani kwenu?!?Huku Mtaani Mkuu kila mtu ni Hataki kusikia chanjo nafikiri kwa sababu watu walijengwa hivyo
Sababu kuu inayowafanya baadhi ya watanzania kukataa chanjo ni UJINGABaada ya kamati ya corona iliyoundwa na Rais wetu Mh Samia suluhu kupendekeza Wantanzania kupata chanjo, Watanzania walio wengi wamepinga sana kupata chanjo ya Covid 19,
Kwa hali Hii serikali inatakiwa iangalie kwa namna nyingine kwa Maana nchi na uongonzi wake ni watu ambao ni watanzania wala siyo kulazimisha ,naamini kupitia Rais wetu itaangalia zaid maoni ya Watanzania
Mapendekezo yangu
1)Serikali iwe na Msemaji Mkuu wa Covid 19 ambaye ni Dr hasa kama katibu Mkuu prof Abel Makubi , awe siyo Mwanasiasa
2)Swala la chanjo huwezi lipinga kwa maana ndio Suluhisho la Kudhibiti ugonjwa tunakoelekea
3) Kwa Hali ya uelewa chanjo kwa sasa serikali isilazimishe ielewee wananchi wengi wako kwanin hawaitaki chanjo
4)Serikali iendele kusimamia njia za kujikinga na ugonjwa ichukue hatu kali bila kujali watanzania wanasemaje kwa ajili ya faida ya afya wengi
Hivi katika hizi ulizotaja hapo aliyotengeneza muhindi ni IPI hapo?Yaani hawajui hata wanacholaumu.
Unalaumu wazungu kuhusu CORONA wakati Corona imeanzia China?
Huziamini chanjo: Je, huziamini chanjo zipi: Astra Zeneca, Moderna, Pfizer au Sinovac ya Mchina ?
Sasa huo mpango wa COVAX FACILITY, watakuingizaji iwapo hauna taarifa za waathirika wanaoweza shawishi wakuingize kwenye huo mpango, bado mtihani kweliweli. Otherwise uje mpango wa kuanzisha ving'ola vya ambulance, na kufungwa majumba ya ibada, hata kwenda sokoni kuwe kwa muda maalum, hapo takwimu zitapatikana kiurahisi, na hapo kukithi vigezoKuna program inaitwa COVAX, chanjo za bei rahisi na kwa nchi nyingine wamepewa bure. Na wanaweza kuleta, zikauzwa;
Swala la muhimu, kina Gwajima wasizuie wenzao kupata chanjo kwa masuala ya imani. Ni kama nguruwe na pombe; kuna imani zinakataza, lakini zipo. Ukitaka kanunue.
Taarifa za waathirika zipo, na wala sio lazima kusemea TBC, wanaweza wakawapa WHO na CDC Afrika na mambo yakaendeleaSasa huo mpango wa COVAX FACILITY, watakuingizaji iwapo hauna taarifa za waathirika wanaoweza shawishi wakuingize kwenye huo mpango, bado mtihani kweliweli. Otherwise uje mpango wa kuanzisha ving'ola vya ambulance, na kufungwa majumba ya ibada, hata kwenda sokoni kuwe kwa muda maalum, hapo takwimu zitapatikana kiurahisi, na hapo kukithi vigezo
Inategemea na mtaa uliko. Maana mitaa nayo si unajua tena inatofautiana, hivyo hata aina ya watu hutofautiana pia.Huku Mtaani Mkuu kila mtu ni Hataki kusikia chanjo nafikiri kwa sababu watu walijengwa hivyo