Llabda Kwa hili lakini sio la umeme,au nishayi Kwa Ujmla ...hili ni tatizo la CCMAlituumiza Sana wapenda mageuzi kumuibia kura Ngoyai Lowassa!
Llabda Kwa hili lakini sio la umeme,au nishayi Kwa Ujmla ...hili ni tatizo la CCMAlituumiza Sana wapenda mageuzi kumuibia kura Ngoyai Lowassa!
Sukuma gang na wahuni wengine msiwaingize watanzania kwenye ugomvi wenu na januari.Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Soma vizuri bila mihemko au nawe una udini hivyo umekuwa touched?Yaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!
Mpuuzi mpuuzi sana, familia zao zimeshika fitna za siasa nchini, jk , nnauyeAlituumiza Sana wapenda mageuzi kumuibia kura Ngoyai Lowassa!
Sio Watanzania wengi bali ni Sukuma gang,hao Sukuma gang mbona hawamtaki hata Rais Samia ila hawana cha kufanya kwa chuki zao.Ndiyo,
Napitia michango mingi kutokea mitandaoni, karibu Mitandao yote inayotumiwa na watanzania,
Wengi wao hawataki uongozi wa Waziri Makamba, ni kwa nini?
Mawaaziri ni wengi, lakini kwa nini iwe ni Makamba pekee asiyetakiwa na watanzania wengi?
Hata hivyo, wizara hii anayoiongoza, mawaziri wengi waliopita hapa, hawakuwahi kuzimaliza changaoto zilizopo hata Leo, licha ya hivyo, hakukuwa na kelele nyingi kama zinavyppigwa Leo kwa mh Waziri, kwa nini Makamba na sio kina Mhongo na kina ngeleja ambao hawakukataliwa waziwazi kama ilivyo leo
Je, Waziri analifahamu hilo,?
Na kama analifahamu anangoja nini kuachia madaraka, kunaumaana gani kufanya kazi ambapo watu wengi hawakutaki?
Chuki unazozijenga wewe na Akili yako.Sio Watanzania wengi bali ni Sukuma gang,hao Sukuma gang mbona hawamtaki hata Rais Samia ila hawana cha kufanya kwa chuki zao.
WashirikinaMpuuzi mpuuzi sana, familia zao zimeshika fitna za siasa nchini, jk , nnauye
Ujumbe gani mpya ambao Nimepata?Chuki unazozijenga wewe na Akili yako.
Kubali tu utashindwa.
Taratibu unapata ujumbe
...haya sasa weka tusi lako chini hapa
Umekuwa mtu mpuuzi sana wewe binti, sukuma gang ndiyo nini we kibwengo?Sio Watanzania wengi bali ni Sukuma gang,hao Sukuma gang mbona hawamtaki hata Rais Samia ila hawana cha kufanya kwa chuki zao.
Sukama gang ni kama wewe hapo punguani..Umekuwa mtu mpuuzi sana wewe binti, sukuma gang ndiyo nini we kibwengo?
iyo ya u preseda li miaka 2030, tutaingia mbinguni na maumivu ya mgongo ya huyu mama hadi 2030Shida ya Feb Manyuzi ni kuwatumia watu mapema kujionyesha atatosha nafasi ya upresidaa 2030 ilihali nafasi hiyo makada wengi ndani ya chama wanainyemelea,kwa hiyo lazima achafuliwe mapema mno ili apotee kwenye ulingo wa kisiasa,ngoja tusubiri muda utajieleza tu
Nakuona unavyolazimisha,
Ushahidi ni kwamba, analindwa Ila hana lolote huyu jamaaToa ushahidi Boss
Yaani kwa sababu Makamba ni muislam na aliyemteua ni muislam kwako wewe huo ni udini lakini alipoteuliwa msukuma na mkiristo na aliyeteua ni msukuma na mkiristo wewe hukuona kama huo ni udini na ukabila!