Always kuna Rural na Urban Areas
Hii type ya housing inafanywa kwenye urban areas ndio maana ni mada inayohusu "URBAN PLANNING"
Kilimo kinafanywa zaidi kijijini na kijijini hakuna tatizo la urban sprawl wala maeneo ya uswazi, apartments zinazuia vitu kama hivi
View attachment 3544437
.
.
Halafu kuhusu kilimo ni vile hujui tu. China ni moja ya nchi zinazofanya kilimo sana duniani. Ni moja ya nchi zinazoongoza kulima mpunga, mahindi na ngano. Wana mashamba makubwa sana. Zaidi ya wachina milioni 300 wanajihusisha na kilimo
Africa kuwa na maeneo mengi ya kulima sasahivi ni kwamba kilimo chetu kipo chini. Hatujalima kwa kiasi kikubwa kama inavyotakiwa mpaka unasema wa asia wanakuja huku kulima meaning kule ardhi yao wametumia vizuri kulima hadi wameamua kuja na huku Africa huku tumezubaa
Pia unajua kwamba apartments zikiwa nyingi zinapunguza matumizi ya ardhi na kufanya ardhi kubwa ibaki kwa matumizi mengine
Imagine hapa wangejenga apartments za kuwatosha watu wote hawa, wangekuwa wame save ardhi kiasi gani?
View attachment 3544447