Dampa
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 810
- 1,265
Bora yako ww wala usiseme easy meeeen kuna watu wanatamani sana wawe weupe everyday bt haiwezekani wanaishia kuishi bila amani hii wala haina ya kuuliza ni mitizamo tu.Astaghfirulah.unakufuru ndugu weusi unanyima raha kivipi?.Mimi ni mweusi na sijawahi kosa raha hata siku moja sababu ya weusi wangu na nimeishi maeneo maeneo mengi yenye ubaguzi



watahonga wangapi?