Naomba sababu, kwà nini wapinzani wote hawavai Barakoa kwenye mikusanyiko yao?
Miezi kaza iliyopita tuliona wanaharakati na wapinzani wakisisitiza Sana watu wavae Barakoa.
Naona sasa wamemuachia mama na waandamizi wake.
Wapinzani hasa Chadema wana akili sawa na za nyumbu. Wanaongelea hili muda huu na ukimpa tu mgongo ashasahau alikiwa anapings nini au anaunga mkono nini?
Ile ni akili kubwaMbowe mtoto wa mjini nasikia alishachanjwa, sasa muigeni muone
Kuliko mwendazake?Samia ni rais bora Africa imejionesha wazi.. Anapenda hadi na wapinzan..
Nchi hii imejaaa watu WANAFIKIIII. Hapo huwezi kuwasikia kina Maria Sarungi wanaongelea Barakoa.
Naomba sababu, kwà nini wapinzani wote hawavai Barakoa kwenye mikusanyiko yao?
Miezi kaza iliyopita tuliona wanaharakati na wapinzani wakisisitiza Sana watu wavae Barakoa.
Naona sasa wamemuachia mama na waandamizi wake.
Aliambiwa aseme SUUU na kiwangwala mpaka leo mdomo mzitoNchi hii imejaaa watu WANAFIKIIII. Hapo huwezi kuwasikia kina Maria Sarungi wanaongelea Barakoa.
Maana wao wenyewe hawajui wanaamini kwenye nini.
Huko CCM kuna mijitu mijinga ya kuhurumia. Mmoja wapo ni wewe. Kwamba hapo ndiyo umemwaga nondo kweli kweli unasubiri sasa kupongezwa?
Hiiiiii bagosha!