Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Mbowe kachoma chanjo.Naomba sababu, kwà nini wapinzani wote hawavai Barakoa kwenye mikusanyiko yao?
Miezi kaza iliyopita tuliona wanaharakati na wapinzani wakisisitiza Sana watu wavae Barakoa.
Naona sasa wamemuachia mama na waandamizi wake.
Ww muige tu utamfuata baba yako meko