Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,034
- 23,881
Mbona nyani wanakulaNina swali japo sio la msingi sana kwanini Kama matunda ni muhimu kwa afya kwanini Sasa wanyama Wengi tunaowafuga hawapewi au hawali matunda kwa mfano wakina mbwa ukiwapa ndizi au machungwa hawali?