Kwanini wanyama hawali matunda?

Hao mbwa sijui paka n.k ni carnivores ambao diet yao ni nyama. Mfumo wao wa umengenyaji chakula ni tofauti na wa herbivores na omnivores.

Utumbo wao mdogo sio mrefu kama wa hao wengine hivyo absorption ya nutrients inatakiwa kuwa ya haraka na vyakula kama matunda na mboga mboga vinachukua muda mrefu kuwa digested hivyo haviwafai.

Ingawa wanaweza kula baadhi ya vegetables ila ni adaptation tu ya mazingira husika kutokana na sababu mbalimbali kama scarcity ya chakula (nyama).
 
Hao mbwa sijui paka n.k ni carnivores ambao diet yao ni nyama. Mfumo wao wa umengenyaji chakula ni tofauti na wa herbivores na omnivores.

Utumbo wao mdogo sio mrefu kama wa hao wengine hivyo absorption ya nutrients inatakiwa kuwa ya haraka na vyakula kama matunda na mboga mboga vinachukua muda mrefu kuwa digested hivyo haviwafai.

Ingawa wanaweza kula baadhi ya vegetables ila ni adaptation tu ya mazingira husika kutokana na sababu mbalimbali kama scarcity ya chakula (nyama).
Mi kuna dogi langu nililifumania linakula papai. Hakyamama nalitafutia mazingira nilitwange nyundo kichwani... halichelewi kuanza kula mchicha kwenye bustani yangu
 
Mbwa anakula Hadi chakula Cha kawaida mbn
Kumpa mbwa ugali ni kumuonea. Kibiolojia mdomo wa mbwa, meno yake pamoja na mpangilio wa meno yake vimeumbwa kwa ajili ya kula nyama.

Mimi hapa nazungumzia biology na wala siyo ufukara wa binadamu wa kumlisha mbwa ugali baada ya kushindwa kumpa nyama na mbwa huyo kula ugali huo kwa sababu hana jinsi.
 
Nina swali japo sio la msingi Sana kwanini Kama matunda Ni muhimu kwa afya kwanini Sasa wanyama Wengi tunaowafuga hawapewi au hawali matunda kwa mfano wakina mbwa ukiwapa ndizi au machungwa hawali?
Ng’ombe, mbuzi, kondoo sio wanyam tunaowafuga? Hawali matunda?
 
Kumpa mbwa ugali ni kumuonea.Kibiolojia mdomo wa mbwa,meno yake pamoja na mpangilio wa meno yake vimeumbwa kwa ajili ya kula nyama.

Mimi hapa nazungumzia biology na wala siyo ufukara wa binadamu wa kumlisha mbwa ugali baada ya kushindwa kumpa nyama na mbwa huyo kula ugali huo kwa sababu hana jinsi.
Ndio maana madogi mengi ya kufugwa yana vyura kama mademu wa kwa Mpalange
 
Mi kuna dogi langu nililifumania linakula papai. Hakyamama nalitafutia mazingira nilitwange nyundo kichwani... halichelewi kuanza kula mchicha kwenye bustani yangu
Hahaha babu inaonekana huyo dogi humpi chakula vizuri asee jitahidi mtengenezee chakula vipo vinauzwa. Sio unampa makombo.
 
Ndio wanyama Wengi me naona matunda hawali kama nyau SI hali nanasi Wala papai na mbona anahitaji nutrients zote
Acha uongo,
Mimi paka wangu anakula Papai, Maganda ya nyanya, maboga vingine sijajaribu

Paka wangu wa pili nimejaribu kumpa hivyo kashindwa kula ila nashaangaa anakula kunde za kupikwa wakati mwenzie hali.
Matunda yanaliwa sana tu wanyama, ngedere anakula hadi ubuyu na mabungo

Una umri gani kijana mpaka usishuhudie mambo rahisi kama haya?
 
Hahaha babu inaonekana huyo dogi humpi chakula vizuri asee jitahidi mtengenezee chakula vipo vinauzwa. Sio unampa makombo.
Hapana nawapa msosi spesho kabisa. Na mara mojamoja naenda kununua dukani nyamamifupa... sasa hili kite linaacha kutafuna mifupa na wenzie linakimbilia papai. Nataka niliue lisije likaanza tabia za kishoga...

Afu nililinua kwa hela ndefu sana keimamae... bora nibaki na hivi vimbwa mwitu vyangu...
 
Malizia tafiti yako vizur....

Wakina nyau wanakula adi nyanya...hii nilishawai shuhudia
 
Nina swali japo sio la msingi Sana kwanini Kama matunda Ni muhimu kwa afya kwanini Sasa wanyama Wengi tunaowafuga hawapewi au hawali matunda kwa mfano wakina mbwa ukiwapa ndizi au machungwa hawali?
Tembo hula matunda nadhani na twiga, tunaowafuga sijui kwanini hawali, tusubiri jamaa wa wanyama waje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina swali japo sio la msingi Sana kwanini Kama matunda Ni muhimu kwa afya kwanini Sasa wanyama Wengi tunaowafuga hawapewi au hawali matunda kwa mfano wakina mbwa ukiwapa ndizi au machungwa hawali?
kuna wanyama wanaokula matunda kama ngombe, punda mbuzi nk hasa wale walao majani na nyasi isipokuwa wale wanyama wanaokula nyama kama vile mbwa, paka, fisi nk, usisahau nyani, ngedere na jamii zao wanakula matunda pia
 
Back
Top Bottom