Kwanini wanawake wengi wetu hatupendani?

Viboko vinakufaa!!
 
Haaa haaaaaa
 
Njoo Pm.Au ulishaenda shost??Mi ndo Naenda.
 
Kwa hiyo unaonaje tukiwa tunajilipua kama ndugu zetu wa kike
ukizingua unapewa za uso muda huo huo

Mkuu na hiyo ndio njia sahihi ya kuepuka maradhi ya kujitakia! Yaani inatakiwa iwe ni titi 4 tati haina kusubiri, kama sio mabanzi basi ni onyo kali sana, hata kama amekuchafulia shati kwa bahati mbaya mkunjie sura muda huo huo.
 
Hata Mimi nimeshangaa sana.Walau Umeona kidogo.Wanawake hatupendani.Na huwa najiuliza kwa nini inakuwa hivyo.
Muda mwingine ni mihemko isiyokiwa na hata chembe ya busara kidogo!

Kwa hiyo comment yake anaonekana tu huyo Englishlady ni mtu anaeongozwa na mihemko
 


Aseeh!, kazi ipo..
 




Wamoja wa wadada wa nguvu, me love you.

Mmesema kweli, ukiwa vizuri ndani yako kwa kujitambua, kujielewa wewe kama wewe na confidence juu, mtu mwingine hata kusumbua kiasi kwamba mpaka umuonee vibaya.
 
Lakini pia wakati mwingine tunakuwa vizuri tu hata wenyewe.
Kuna mahali nilifanya Internship, na karibu 70% ya wafanyakazi ilikuwa wanawake. Niliingia kwa woga nikijua kutakuwa na issues za hapa na pale, lakini ikawa tofauti.
Nilipata wasiwasi coz kuna journal niliona iliongelea issue ya wanawake kuwekeana vikwazo especially makazini.

Ingawa kulikuwa na wadada wawili watatu wenye issues hapo mahala, lakini mostly things were calm na kazi zilifanyika vizuri tu.
We did just fine.
 
Mpaka namalizia chuo nakumbuka palijengeka matabaka zaidi ya sita Miongoni Mwa wanawake niliosoma nao, yaani ni mwendo wa kuhama room.kuna tabaka la masista du,wenye nyodo,wacha Mungu,wababe,wapiga msuli,mama huruma yani kila Mtu anaponea yani ni mwendo wa kuangalia tu.
 
Halafu wote tajwa wanaelewana kinafiki au hawaelewan kabisa.
 
Mkuu na hiyo ndio njia sahihi ya kuepuka maradhi ya kujitakia! Yaani inatakiwa iwe ni titi 4 tati haina kusubiri, kama sio mabanzi basi ni onyo kali sana, hata kama amekuchafulia shati kwa bahati mbaya mkunjie sura muda huo huo.
Haaa haaaa.Huu Ni Ushauri au nini Jamani.Alielewa aje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…