Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Hello WanaJf

Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Mimi: Hapana Bibi

Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".

Mimi: Inamaana gani bibi?

Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.

HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Waambie waache kwanza kupiga mizinga waache dharau waache ujuaji wawe wanyenyekevu kwa wanaume
 
Hello WanaJf

Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Mimi: Hapana Bibi

Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba".

Mimi: Inamaana gani bibi?

Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa wanaume wa kizazi cha sasa wanayapata kabla ya kwenye ndoa . Kama vile kufuliwa, kupikiwa na mambo mengine ya ndani ya ndoa. Hii inapelekea kwa kiasi kikubwa kupoteza hamu ya ndoa na zana nzima ya ndoa kati ya wahusika hao wawili na kusababisha kushiba kwa wanaume kunakotokana na kuonja onja na kupelekea kushiba.

HUU NI MTAZAMO WA BIBI YANGU, JE WEWE UNAMTAZAMO GANI KUHUSIANA NA HILI?
Wapi utafiti na ushahidi? Mbona kila siku zinafungwa ndoa? Ni wanawake wapi na wa wapi hao wasioolewa wakati kama ni nchini wanaolewa kila kikucha kiasi cha idadi ya watoto kuongezeka nchini kila mwaka?
 
Wapi utafiti na ushahidi? Mbona kila siku zinafungwa ndoa? Ni wanawake wapi na wa wapi hao wasioolewa wakati kama ni nchini wanaolewa kila kikucha kiasi cha idadi ya watoto kuongezeka nchini kila mwaka?
Unataka uaminishwe vipi kuwa wanawake hawaolewi siku hizi angalia kwanza idadi ya single mother inavyozidi kuongezeka kila siku
 
Gender balance movements zimegeuza mwanamke kua mwanaume mentaly so hakuna mwanaume atataka kumweka ndani mwanaume mwenzie, so hao unaona hawajaolewa sio wanawake ni wanaume wenzetu
wazoefu wanasema wanawake wasomi wanasumbua sana kwenye ndoa
 
Wapi utafiti na ushahidi? Mbona kila siku zinafungwa ndoa? Ni wanawake wapi na wa wapi hao wasioolewa wakati kama ni nchini wanaolewa kila kikucha kiasi cha idadi ya watoto kuongezeka nchini kila mwaka?
Kuongezeka kwa idadi ya watoto haimaanishi wameolewa, mbona wanawake kibao wanawatoto lakini hawajaolewa.
 
Back
Top Bottom