Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

Hii dhana ya feminism binafsi huwa naona haijaeleweka kwa watu wengi.

Unamkuta mtu wanaume sijui walinfanya nini, hana mahusiano nao mazuri basi anatumia kichaka cha feminism kujenga uadui kati ya mwanaume na mwanamke.

Sasa wasichana wakiwasikikiza hawa ni ngumu sana kuishi kwenye ndoa.

Kwasababu badala ya ndoa kuwa sehemu ya kushirikiana, inakuwa sehemu ya kuoneshana nani zaidi, au nani mwamba.
Wazee wa battle ndio wengi humu! Mahusiano yamefanywa kama sehemu ya kuoneshana nani zaidi!

Kikubwa ambacho mwanamke alitakiwa kufanya ni ku neutralize misuguano ila wao wanaona kufanya hivyo kama ni kutufanyia favour😁😁😁 tabu itaendelea tu!
 
My experience,, women are granted more rights than men.
Boys have seen this done to their fathers and brothers, women benfit from what they never contributed.

And the percentage of cheating wives increases always.

Boys are then afraid of getting married to such women who will claim what they never brought home, women who will cheat with other men while are in marriage.


I think I have tried ,,

my english does not concern you.
Thanks so much for your wonderful content and God be upon you mate.
 
Wazee wa battle ndio wengi humu! Mahusiano yamefanywa kama sehemu ya kuoneshana nani zaidi!

Kikubwa ambacho mwanamke alitakiwa kufanya ni ku neutralize misuguano ila wao wanaona kufanya hivyo kama ni kutufanyia favour😁😁😁 tabu itaendelea tu!
Very smart and wise contribution......Only the wise one can accept that.
 
Wanawake wengi kuliko wanaume
Kibaiolojia ni kweli possibility ya kupatikana mtoto wa kike ni kubwa kuliko mtoto wa kiume = Automatically Wanawake ni wengi kuliko wanaume duniani. Je, kwa nini hawaolewi?
 
Back
Top Bottom