Huyu bibi bikra mwenye miaka 86 anawakilisha mentality ya wanawake wengi

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,699
Hi

Jana nliona video afrimax, kuna bibi anaeitwa Sofia wa hapa hapa Tanzania anadai ana miaka 86 halafu bado bikra, hajaolewa hana watoto wala wajukuu, kwasababu kipindi cha usichana wake alikataa kila mwanaume aliekuwa anamtongoza.

Aliwakataa hao wanaume sababu alikuwa akiwaangalia hawana hela, wanaume wengine waliomfata aliona hawana muonekano mzuri sana, akachagua chagua mwishowe huyo miaka 86

Wengi wanamshangaa huyo bibi, bila kujua wanawake wengi (including walioko kwenye ndoa) wana mawazo kama ya huyo bibi, sema tu wameamua kufunga macho waingie kwenye ndoa, wasikose watoto na waepukane na maneno ya jamii, ila kiuhalisia wanawake hawapendi 95% of men they see.

Kama umeoa, ukichunguza vizuri huyo mkeo, there is a high chance you're not her first choice. Kakubali umuoe kwasababu aliowataka hawakumtongoza
Screenshot_20240320-173932.jpg
 
Hi

Jana nliona video afrimax, kuna bibi anaeitwa Sofia wa hapa hapa Tanzania anadai ana miaka 86 halafu bado bikra, hajaolewa hana watoto wala wajukuu, kwasababu kipindi cha usichana wake alikataa kila mwanaume aliekuwa anamtongoza.

Aliwakataa hao wanaume sababu alikuwa akiwaangalia hawana hela, wanaume wengine waliomfata aliona hawana muonekano mzuri sana, akachagua chagua mwishowe huyo miaka 86

Wengi wanamshangaa huyo bibi, bila kujua wanawake wengi (including walioko kwenye ndoa) wana mawazo kama ya huyo bibi, sema tu wameamua kufunga macho waingie kwenye ndoa, wasikose watoto na waepukane na maneno ya jamii, ila kiuhalisia wanawake hawapendi 95% of men they see.

Kama umeoa, ukichunguza vizuri huyo mkeo, there is a high chance you're not her first choice. Kakubali umuoe kwasababu aliowataka hawakumtongoza
View attachment 2940659
nishakutanA NA mmama mtu mzima ,umri wa kustaafu alikataa kuolewa baada ya kufukuzwa seminary alipokuwa akisomea u sister. aliomba ruhusa kuhudhuria msiba, akazidisha siku. hakupokelewa. lakini akaamua kutokuolewa wala kuzaa kulinda kile alichokusudia. nahisi nayeye kwa msimamo wake huu wa kijinga anaweza kuwa bado ni bikra
 
nishakutanA NA mmama mtu mzima ,umri wa kustaafu alikataa kuolewa baada ya kufukuzwa seminary alipokuwa akisomea u sister. aliomba ruhusa kuhudhuria msiba, akazidisha siku. hakupokelewa. lakini akaamua kutokuolewa wala kuzaa kulinda kile alichokusudia. nahisi nayeye kwa msimamo wake huu wa kijinga anaweza kuwa bado ni bikra
Tupo wengi mno, wakipatikana hao wasiotaka kuzaa inasaidia kupunguza idadi ya watu.
 
Hata hawa tulionao wana mitazamo kama ya huyu Bibi. Mwanamke huwa anamkubali mwanaume ambaye ana kazi na uwezo wa kumtunza.

Angalia jinsi wanaume wengi wanaoachishwa kazi, utakuta na ndoa zao zinakuja kuvunjika.

Wanawake wengi hawawezi kuwa faraja kwa mwanaume asiye na uwezo, wao wanaangalia mteremko tu.
 
Hi

Jana nliona video afrimax, kuna bibi anaeitwa Sofia wa hapa hapa Tanzania anadai ana miaka 86 halafu bado bikra, hajaolewa hana watoto wala wajukuu, kwasababu kipindi cha usichana wake alikataa kila mwanaume aliekuwa anamtongoza.

Aliwakataa hao wanaume sababu alikuwa akiwaangalia hawana hela, wanaume wengine waliomfata aliona hawana muonekano mzuri sana, akachagua chagua mwishowe huyo miaka 86

Wengi wanamshangaa huyo bibi, bila kujua wanawake wengi (including walioko kwenye ndoa) wana mawazo kama ya huyo bibi, sema tu wameamua kufunga macho waingie kwenye ndoa, wasikose watoto na waepukane na maneno ya jamii, ila kiuhalisia wanawake hawapendi 95% of men they see.

Kama umeoa, ukichunguza vizuri huyo mkeo, there is a high chance you're not her first choice. Kakubali umuoe kwasababu aliowataka hawakumtongoza
View attachment 2940659
Maneno ya mwishoni hayo yana ukweli 100%
NDOA NI UTAPELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila kiuhalisia wanawake hawapendi 95% of men they see.
Wewe umejuaje? Lakini tuchukulie ni kweli....

Mbona sio vibaya, kila mtu ana uhuru wa kuchagua

Halafu haiingii akilini mwanamke anaejitambua kuharakisha kuolewa ili afurahishe watu

Hakuna njia ya uhakika ya kupata mtu wa kufunga nae ndoa, unaweza usiwe chaguo la kwanza.....

Lakini kama umekidhi vigezo kwanini usipitishwe?

Na kama mwanaume hajatongoza, mwanamke anashindwa kujilengesha?
 
Atayetaka Kutoa hiyo bikra aandae nyundo na Msumari kwanza Kabla ya kuiweka yake la sivyo dudu itajikunja na kukatika Kabisa
 
Back
Top Bottom