Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

haha kiongozi naona unaongelea uzoefu....hii mimi nimeshakumbana nayo sana tu ndo walivyo baadhi ya dada zetu.....(sio wa hapa MMU lakini)

Unawaogopa eeeeh hata hapa wapo!
 
jaman wewe ni pm basi ili nkupe shda yangu
naitaj kudwnlod izi clips za mazoez ya tumbo bt siwez....
can u help me...........help me pleeeeeeeeeeeeeeees?
nisaidie jaman....nataka swaga km izo apo juu bt za kuplay sjui u tube niaje nashndwa kuases ful....wil u help me?
i ges yes ....so thak u ma dear brazza!!!!

Usihofu nitakupatia kama una USB flash disk ya 3 GB njoo uchukue za kukutosha wewe na famila yako:teeth:

Unajua kupunguza au kuondoa kabisa kitambi ni issue
Ndo maana wanaipotezea

Hapana kuondoa kitambi sio kitu kigumu "ur what u eat" watu wanakula sana. Mwanamke anakula kiti moto 2 kg na ugali sahani 2 what di u expect? pia kufwata njia sahihi za kufanya mazoezi na sio kujifanyia tu.

shukrani bro ngoja na mimi nianze hili zoezi maana naona kama kinaninyemelea kwa kasi


No pain no gain.........muda wa asubuhi ni mzuri zaidi

heheheheeeeeeeeeeeeee mwe!!!!! we nguli vibaya hivyo

Ndio hali halisi kama sio mbavu na ngozi kingeanguka chini.
 
hata mkiwa na uwezo mnabaniamkiona dume linanunua...tena wengine wanywaji asilia wa kilimanjaro kubwa...ile kama fire extinguisher...mkiona dume mnajifanya kunywa kale kabia savannah tena mwataka ya uvuguvugu...inabidi ziagizwe mbili moto na baridi ili zichanganywe...bili yaketzs 3,500x2/round

hahaaaa,safari wewe!!!
Ukiona hivyo ujue anajihami maybe unataka akulipe fadhila in kind. Sasa hapo lazima akukamue before hajailipa .
 
Wataachaje kupata vitambi wakati ndo tunashindana kupata supu kwa chapati na vilo vya virimoroooooZ?

mnataka tusile sasa, msije mkarudisha enzi za zamani kwamba wanawake hawaruhusiwi kula mayai mwe
 
Nipo kwene HOOD natoka MORO nimekaa na dada mmoja ana kitambi ambacho sasa kimekimbilia mbavuni, huko nyuma ndo hakuna kitu kabsaaa! naunga mkono hoja, ngoja asinzie nimfotoe niwaletee foto yake maana si mnataka ze evidence kama Afande Kovu


sisinzii ng'o baba mbaya wewe yaani kunishangaa tu haijakutosha mpaka unifotoe mwe!
 
haha kiongozi naona unaongelea uzoefu....hii mimi nimeshakumbana nayo sana tu ndo walivyo baadhi ya dada zetu.....(sio wa hapa MMU lakini)

Nakachukia hako ka SAVANA mpaka nimemwambia MOHANS asi ka import tena....balaa tupu...
 
mnataka tusile sasa, msije mkarudisha enzi za zamani kwamba wanawake hawaruhusiwi kula mayai mwe

Ndiko wanakoelekea hawa wataanza oooh wanawake hawatakiwi kula kitu cha moto mara supu na chapati zinaharibu kazazi ili mradi tu tusilie wanaumbe wabaya hawa
 
mnataka tusile sasa, msije mkarudisha enzi za zamani kwamba wanawake hawaruhusiwi kula mayai mwe

Kuwa mwangalifu na wewe utaota kitambi watu wataanza kujiuliza utajifungua lini?
 
Huyu mkoloni noma sana... nimeimiss hii mada ambayo ni very funny

Kusema ukweli vitambi sasa naona imekua fashion... hahahah..aaaaa.. khe khe...kheeeeeeeeee

Ukiuliza utaambiwa nishazaa mie, sasa sijui hapa ni kweli au la?
 
Huyu mkoloni noma sana... nimeimiss hii mada ambayo ni very funny

Kusema ukweli vitambi sasa naona imekua fashion... hahahah..aaaaa.. khe khe...kheeeeeeeeee

Ukiuliza utaambiwa nishazaa mie, sasa sijui hapa ni kweli au la?


mwe ACID umenichekesha ndio hivyo tunasingizia kuzaa watu hawatuelewi sasa tumeamua kuita kitambi fashion ndio iliyobaki
 
Nimegundua hata mama wa kwanza anacho kiatambi...ila sidhani kama ana jimasangaisha na ma SAVANA na mdudu wetu mpendwa
 
mnataka tusile sasa, msije mkarudisha enzi za zamani kwamba wanawake hawaruhusiwi kula mayai mwe

pata picha hapo: mwanamke ni MFUPI, ANA KITAMBI NA MAKALIO MAKUBWA!!!!kazi ipo hapo, unaweza sema umekutana na Nyangumi walllah........!!!
 
Huyu mkoloni noma sana... nimeimiss hii mada ambayo ni very funny

Kusema ukweli vitambi sasa naona imekua fashion... hahahah..aaaaa.. khe khe...kheeeeeeeeee

Ukiuliza utaambiwa nishazaa mie, sasa sijui hapa ni kweli au la?

Hahahah......let me spare my comments for now
 
sijafyumu wala nini mi namtafuta wa kunipa ofa simpati, naona nina mkosi sijui mwe

mimi naweza kukupa ofa Maty, LAKINI MIMI NI MWEUPE!sijui weupe kwako sio issue?
 
pata picha hapo: mwanamke ni MFUPI, ANA KITAMBI NA MAKALIO MAKUBWA!!!!kazi ipo hapo, unaweza sema umekutana na Nyangumi walllah........!!!

teh teh teh kwik kwik kwi ohooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom