eeeeeh mama kubwa amesikia hilo
Hiyo ni tofauti na kitamba
:focus:
sio vitambi tuu mbona makalio makubwa hamyasemi au kwakuwa mnamaslahi nayo?
Siku hizi maradhi ya 'Fibroids' pia yameshamiri. Wengi wana vitambi kwa sababu hiyo na Fibroids nyingine hazina madhara ya maumivu hivyo unakuta zinakua na mwenye nazo anaona kitambi tu bila kujua ana tatizo. Nadhani kwa asilimia kubwa kama sio wote, wanasumbuliwa na maradhi hayo ya uvimbe kwenye matumbo ya uzazi. Ninawafahamu baadhi, kwa vile nami nilipatwa nayo hayo japo sikufutuka tumbo maana ilikuwa maumivu makali hivyo nilikuwa napata tiba kabla hayajawa makubwa yakafutuka kitambi. Hakuna mwanamke anapenda kuwa shapeless.
Wengi naona wanalisahau hilo. Kitambi utafikiri nao ni Viongozi wa bendi ya TOT, lol. Wale inaeleweka wanaimba sana kwahiyo uzito unaongeseka, Sasa kina mama siku hizi ni zile bia zisizo na utaratibu
mie nakupenda hivyo hivyo ila ku-do nawe ndio mpaka upungueMaskini MADAM T kumbe sipendezi, aa jamani inamaana hamna aliyenipenda humu kweli?
Unajua kupunguza au kuondoa kabisa kitambi ni issue
Ndo maana wanaipotezea
kweli inapunguza mvuto vibaya.vitambi vyenyewe vinakua kama vya wahindi waliofilisika