Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,618
Jamani hao wenye vitambi wapo wengi hata hapa jf!niwataje..................?
Ngoja nikusaidie...Dena Amsi....lmao
Jamani hao wenye vitambi wapo wengi hata hapa jf!niwataje..................?
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
Siku hizi maradhi ya 'Fibroids' pia yameshamiri. Wengi wana vitambi kwa sababu hiyo na Fibroids nyingine hazina madhara ya maumivu hivyo unakuta zinakua na mwenye nazo anaona kitambi tu bila kujua ana tatizo. Nadhani kwa asilimia kubwa kama sio wote, wanasumbuliwa na maradhi hayo ya uvimbe kwenye matumbo ya uzazi. Ninawafahamu baadhi, kwa vile nami nilipatwa nayo hayo japo sikufutuka tumbo maana ilikuwa maumivu makali hivyo nilikuwa napata tiba kabla hayajawa makubwa yakafutuka kitambi. Hakuna mwanamke anapenda kuwa shapeless.
LOL!!, hio kali Mzee. Sababu ni kiti moto na Serengeti za ofaaaa!!!!!
Wenye vitambi wanalijua ila wanapotezea.
mbona kimya, hata message zangu hujibu!kulikoni?
mie nakupenda hivyo hivyo ila ku-do nawe ndio mpaka upungue
Kha jamani mbona hivyo
waambie ao ao wapashe wapashikeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!Kila kitu wanawake tu!Nyie mshafanya mazoezi?au hamhitaji?
nyooooooooooo!!!mbona kimya, hata message zangu hujibu!kulikoni?
mbona kimya, hata message zangu hujibu!kulikoni?
Msiwaseme sana wengine ni matokeo ya dawa za kuongeza umri.
ukweli kitambi kwa mwanamke kinapunguza urembo,,,mazoezi na diet ni muhimu,,,ngoja nifanyie kazi cha kwangu!asante kwa kunikumbusha
jaman wewe ni pm basi ili nkupe shda yangusolution
kweli inapunguza mvuto vibaya.vitambi vyenyewe vinakua kama vya wahindi waliofilisika
Nipo kwene HOOD natoka MORO nimekaa na dada mmoja ana kitambi ambacho sasa kimekimbilia mbavuni, huko nyuma ndo hakuna kitu kabsaaa! naunga mkono hoja, ngoja asinzie nimfotoe niwaletee foto yake maana si mnataka ze evidence kama Afande Kovu