Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Mh Shantel wenginbe tukiwa na stress hatuli kabisaaaaa! na kilo huwa zinapungua kwa kasi sana.
Ur lucky then, watu huwa wananenepeana sana sababu ya stress wengu hukimbilia kula sana
 
duh kama wachaga na wapare and the likes, wakinenepeana lazima utafute nyumba ndogo. Bse wanakuwa v shape n so boring, tumbo mbele yani...
 
dah unakuta mmama kama kiroba.bora awe mnene ila na shape nzuri sio kifurushi.
 
duh kama wachaga na wapare and the likes, wakinenepeana lazima utafute nyumba ndogo. Bse wanakuwa v shape n so boring, tumbo mbele yani...
Duh mama nalia umeua sana hapa, ngoja waje wenyewe hahahahaaaaa
 
wajuwa vijana wengi wa mjini kutafuta vitambi waona ni fasion >>>> si wajuwa mambo ya kina PAPAA FULANI FULANI... yaani akiwa na kitambi lile neno Papaa fulani ndipo linapofit fresh
 
Ruta,
Mwanaume yeyote mwenye kitambi hawezi kummudu mwanamke kitandani kwa asilimia 100,mwanaume mwenye kitambi akivaa suruali haikai sawa
 
Ina tegemea

Hakuna kitu kama hicho.Wakati mwingine mtu yupo fiti lakini shughuli inakua ya tabu,itakua mtu ana kitambi kama gunia?mimi naamini kila mwenye kitambi hawezi kazi,labda kama anatumia nguvu za ziada
 
Siku hizi kuna tabia ambayo si nzuri na siipendi kiukweli,wanawake wengi wanavitambi kitu ambacho kinaharibu shape zao na kuwafanya waonekane hawana mvuto.mbaya zaidi siku hizi hadi mabinti wadogo kabisa nawenyewe wanavitambi kitu ambacho huwaaribia shape zao na kuwafanya ata nguo zisiwakae vizuri.nawaomba wanawake hasa mabinti mjitahidi kufanya mazoezi ya kuondoa vitambi ili mmentain shape
zenu na kuongeza mvuto.hii ni nzuri kwenu na kwa wenzi wenu.ni hayo tu kama nimewakera sorry
 
hasa arusha ndio wako wengi,mambo ya nyama choma hayo!inawaharibia sana kwa kweli
 
Siku hizi kuna tabia ambayo si nzuri na siipendi kiukweli,wanawake wengi wanavitambi kitu ambacho kinaharibu shape zao na kuwafanya waonekane hawana mvuto.mbaya zaidi siku hizi hadi mabinti wadogo kabisa nawenyewe wanavitambi kitu ambacho huwaaribia shape zao na kuwafanya ata nguo zisiwakae vizuri.nawaomba wanawake hasa mabinti mjitahidi kufanya mazoezi ya kuondoa vitambi ili mmentain shape
zenu na kuongeza mvuto.hii ni nzuri kwenu na kwa wenzi wenu.ni hayo tu kama nimewakera sorry
mambo ya michemsho hayo na bia za buree!
 

  • user-online.png
    Kimbweka 15th December 2010 10:20
    #1
    JF Senior Expert Member
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_pos.png
    reputation_highpos.png
    reputation_highpos.png
    reputation_highpos.png



    Join Date : 16th July 2009
    Posts : 4,241

    Rep Power : 31



    icon1.png
    Wanawake na vitambi


    Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
    Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
    Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?

    https://www.jamiiforums.com/mahusia...ini-wanawake-wengi-mna-vitambi-siku-hizi.html



 
Nakubaliana na wewe siyo nzuri kimwonekano pia kiafya siyo salama tunajiweka kwenye hatari ya kupata magonjwa. Tatizo tulio wengi tunakula ili tushibe bila kujali tunashibishwa na nini, na mazoezi tunayasikia au kuyasoma tu magazetini kwa kisingizio cha kukosa muda wa kufanya mazoezi,kukosa pesa ya gym wakati hata chumbani au nyumbani kwako waweza kufanyia mazoezi. Vitambi ni vibaya sana sijui kuwe na kampeni ya nchi nzima kupambana na vitambi mfano 'KITAMBI NOOOMA'....LOL, Kama Michelle Obama alivyoanzisha kampeni ya kupambana na unene kwa vijana huko USA.
 
Tulizungumzia sana lakini wabishi kweli
 
Back
Top Bottom