Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

kula vyakula bila mpangilio hasa vilivyopikiwa mafuta ya ndoo yenye pasenti kubwa ya fat
 
kwanini wanawake wengi wa tz mna vitambi???

kitambi_kike.jpg


picha kwa hisani ya jay dee blog

huyo mdada anayelalamika tunadhalilishwa kutokana na hii picha ni walewale,

kwani huyo mdada hapo juu alijidanganya kapendeza, na akatoka mbele ya umati wa watu kila jicho likamtazama ni haki yake kukoselewa tena kwa sana kwani hakupendeza, na nguo alizovaa hazikuendana na umbo lake.
 
Habari yake Maty bana!

Hapo umemaliza yote huo ndio ukweli mtupu.


Nzuri mpenzi, hatuvipendi ndio ila vyakula tulavyo miaka ya sasa ndio vinavyosababisha yote haya hatuwezi kuvikwepa maana la sivyo tutakufa kwa njaa kisa twakimbia vitambi mwe!
 
huyo mdada anayelalamika tunadhalilishwa kutokana na hii picha ni walewale,

kwani huyo mdada hapo juu alijidanganya kapendeza, na akatoka mbele ya umati wa watu kila jicho likamtazama ni haki yake kukoselewa tena kwa sana kwani hakupendeza, na nguo alizovaa hazikuendana na umbo lake.


ukimaindi lugondi utapitwa na fasheni kwi kwi kwi kwi lol
 
Wanawake siku hawataki mazoezi ya kutoka jasho akipata kigari basi hataki kutembea kwa miguu na ofa kwa sana za misosi na bia na sindano za uzazi ndio chanzo cha vitambi vyao
 
Sababu ziko clear:

Mazoezi hawafanyi ( uvivu unachangia sana )
wanakula bila mpangilio ( hapangiii wale au wanywe nini mda gani na kwasababu gani)
Beer....hasa za ofa..( hili ni tatizo sugu kwa sasa)
Kuolewa ( wakishaolewa wanajisahau kabisa )
Kujifungua ( wengi wao hawafikirii ku-regain their body structure after birth )
Uchaga ( kule kwetu Moshi mwanamke asiponenepa hasa mara baada ya kujifungua
 
Hodii wana jf wenzangu, Kumekuwa na tabia ya akina mama wengi kujiachilia/kunenepeana hovyo (mwanamke shepu) ilihali waliingia ktk ndoa wakiwa wembamba-ndani ya mwaka tu jimama hilooo 85-100kgs...inayopelekea kugawa send off gown 2 beki 3,kukoroma kama machine ya unga,kupumua harufu mbaya..Hii imepelekea ndoa nyingi kuyumba-kwani inamlazimisha mume kuwa na shepu 2 tofauti na uchaguzi wa kwanza (kimiss)..HILI VILE VILE KINA BABA LINAWAHUSU eg, lile jibaba taisonia pale ikulu ya magogoni ni taswira mbaya mbele ya jamii(ubwanyenye,umangimeza, ulafi, uzembe nk)
 
aiseeeeee.... na mie kitambi kinaanza.. ngoja niache pombe... nisije shindwa piga mechi
 
Life style inawabadilisha watu sana. Mtu akipata vijisenti kidogo, basi anashindwa ku-control hata mlo wake mwenyewe. Utakuta asubuhi anagonga supu na chapati 2, anashushia na bia mbili. Mchana anapata ugali kwa nyama choma, anashuashia na bia moja. Usiku ndiyo usiseme, lete mbuzi weka pilipili nyingi na bia tu infinity! La kushangaza, mtu akinunua gari, kutembea ndiyo anaacha kabisa, loh! Tubadilike jamani, mbona tunajimaliza wenyewe?
 
Life style inawabadilisha watu sana. Mtu akipata vijisenti kidogo, basi anashindwa ku-control hata mlo wake mwenyewe. Utakuta asubuhi anagonga supu na chapati 2, anashushia na bia mbili. Mchana anapata ugali kwa nyama choma, anashuashia na bia moja. Usiku ndiyo usiseme, lete mbuzi weka pilipili nyingi na bia tu infinity! La kushangaza, mtu akinunua gari, kutembea ndiyo anaacha kabisa, loh! Tubadilike jamani, mbona tunajimaliza wenyewe?

weka menu basi!
 
siinatokana nakuwa kitu alichokuwa anakisubilia kimekamilika let haa burst..
 
HILI VILE VILE KINA BABA LINAWAHUSU eg, lile jibaba taisonia pale ikulu ya magogoni ni taswira mbaya mbele ya jamii(ubwanyenye,umangimeza, ulafi, uzembe nk)

kwa wanaumme madhara yake ni yepi.nielemishe kisawasawa.............................................
 
Back
Top Bottom