Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
mmmmhh jamani kitambi ni utajiri...
mie changu nasukuma kwenye troli...
Zamani kwa kua huna kitambi ilionekana mlo hautoshi.
Kwa sasa kitambi ni ishara ya mlo mnono.
Tazama wenye ..... Aibu zao!
Kama hajazaa navipenda vtambi vyao.(f).