Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

kiukweli tujifunze kula vizuri maunene sio mazuri kabisa.....ukishakula hivi unafanya mazoezi au ndo unaenda kulala na mashuzi mengi kupitiliza!
Natembea kilomita moja kwenda home, then nikifika nashighulika na wifi yako ndo nalala!!
 
nashukuru umesema kujifungua hakuleti kitambi ila ukila hovyo......kama mama nashangaa watu wakishabihisha kitambi na kuzaa

mama wa binti au sharobaro?
Hw old is she/he?
 
nashukuru umesema kujifungua hakuleti kitambi ila ukila hovyo......kama mama nashangaa watu wakishabihisha kitambi na kuzaa
Kuna dogo namjua anakula huyo!! kama mchwa! maubwawa, maburger, mavitimoto, mabia anafakamia tu, lakini mwembamba kama mpapai! na hafanyi mazoezi! anapenda lift balaa!
 
Natembea kilomita moja kwenda home, then nikifika nashighulika na wifi yako ndo nalala!!
hapo mwake maana hiyo misupu na mimbavu yote inakuwa hola,ingekuwa unalala hivihivi hata wifi mambo mazuri angeyasikia kwenye bomba kama sio kuyapata kwa muuza samaki
 
Kuna dogo namjua anakula huyo!! kama mchwa! maubwawa, maburger, mavitimoto, mabia anafakamia tu, lakini mwembamba kama mpapai! na hafanyi mazoezi! anapenda lift balaa!
hahahaahahahah huyo ndo wale kina mti mkavu...usimuige bwana hatutaki kukupoteza mapema
 
hahahhhahahah msaharobaro wa ukweli....miaka tisa sasa,ulidhani kasista du mie nna miaka 45 naenda wa 46

nilifikiri una binti hivi...halafu awe hajatulia
na huo mdomo wako.sipati picha lol
 
Ila kweli kuna watu wanakula sana afu hawanenepi. Ntatafuta mtaalamu nimuulize inakuwaje? Ila nadhani ndio maana wana connect unene na kuridhika. Kwa kuwa hawa wanaokula na kutokunenepa ni wale ambao bado ni vijana unakuta wanasoma sana, hawajuhi maisha ya baadae yatakuwaje basi ni watu wa mawazo. Sasa sijuhi mawazo kama yanaongeza metabolism. Could be, maana hata watu wenye mtindio wa akili wengi ni wanene kwa kuwa hawana wanalowaza.
 
hapo mwake maana hiyo misupu na mimbavu yote inakuwa hola,ingekuwa unalala hivihivi hata wifi mambo mazuri angeyasikia kwenye bomba kama sio kuyapata kwa muuza samaki
Weee!!Si unajua Sukari inasababisha kidume kisiweze ile habari inavyotakiwa?!! Hapo ndo itabidi kukubaliana na the fact kwamba Kidume unasaidiwa!!
 
Ila kweli kuna watu wanakula sana afu hawanenepi. Ntatafuta mtaalamu nimuulize inakuwaje? Ila nadhani ndio maana wana connect unene na kuridhika. Kwa kuwa hawa wanaokula na kutokunenepa ni wale ambao bado ni vijana unakuta wanasoma sana, hawajuhi maisha ya baadae yatakuwaje basi ni watu wa mawazo. Sasa sijuhi mawazo kama yanaongeza metabolism. Could be, maana hata watu wenye mtindio wa akili wengi ni wanene kwa kuwa hawana wanalowaza.
ushausikia msemo wa hakuna mtu mwembamba duniani....ni matokeo ya yale maulaji yao mabaya!
 
Before / After
75cV6.jpg
 
Weee!!Si unajua Sukari inasababisha kidume kisiweze ile habari inavyotakiwa?!! Hapo ndo itabidi kukubaliana na the fact kwamba Kidume unasaidiwa!!
hahahahahahah hasira zake unaweza ua mtu au ukajimaliza we mwenyewe...maana bora uwe rijali unaweza malizia hasira kwa mke wa jirani yako kama analipa sasa kila ukimuita jamaa anaangalia chini mhh lazma hadithi isomeke vingine hapo,ila tule vizuri na kufanya mazoezi mepesi kama ya kawaida hatuyawezi!
 
Back
Top Bottom