Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

watu tunatofautiana sana
wengine tuhafurahia mwanamke wako akinenepa
haitusumbui kabisaaaa...
 
Tatizo letu watu wengi wanachukulia unene kama sign ya maisha mazuri. Ukiwa na kitambi utasikia maisha yamemkubali, ukipungua watu wanaaza kuguna na kukutazama mara mbili mbili. Tubadilike, unene sio afya!!
 
nzuri sana..ila ikishashusha hilo tumbo ndo hapo chacha
Sasa tule majani kama mbuzi?Asubuhi supu ya ngumi na ndizi moja ya kuchomaMchana ugali wa utumbo na figiriJioni kitu cha paya au supu ya utumbo special....starter, then mbuzi mbavu mbili na ndizi moja ya kukaanga na biya mingi
 
watu tunatofautiana sana
wengine tuhafurahia mwanamke wako akinenepa
haitusumbui kabisaaaa...

Usingechangia kwenye hii sredi, ningefanya maandamano ya amani nchi nzima... Unapenda mpaka vitambi eeh???
 
Sasa tule majani kama mbuzi?Asubuhi supu ya ngumi na ndizi moja ya kuchomaMchana ugali wa utumbo na figiriJioni kitu cha paya au supu ya utumbo special....starter, then mbuzi mbavu mbili na ndizi moja ya kukaanga na biya mingi
kiukweli tujifunze kula vizuri maunene sio mazuri kabisa.....ukishakula hivi unafanya mazoezi au ndo unaenda kulala na mashuzi mengi kupitiliza!
 
kwa wanaumme madhara yake ni yepi.nielemishe kisawasawa.............................................
kitambi kikizidi sana kuna siku itafika ukitaka kupiga mashine itakubidi ufunge mkanda hicho kitambi ili kibolo chako kitokezee! Yaani sipati picha! Hahahahahaaaaaaaaaa
 
Shosti umenikumbusha. Tabia ya kula hovyo haiko bongo peke yake. Nilikuwa naangalia Aljazeera, wanasema sasa hivi nchini Qatar (sijuhi nimepatia spelling) asilimia 16 ya wananchi wake wana diabetis. Walikuwa wanamuhoji daktari mmoja wa hiyo nchi, akasema nchi yao sasa hivi hali ya kipato cha raia imekuwa juu, yani ni matajiri sana. Sasa badala ya kucheki wanachokula watu wanafakamia ma baga ndio maana wananenepeana. Na kibaya zaidi doctor anasema wakiona wamenenepa wanaanza diet ya ku skip breakfast na ku over eat lunch na dinner. Doctor akasema breakfast ni muhimu sana kuliko mlo wowote na haiongezi uzito. So people should have heavy breakfast and light dinner! Kingine alichosema ni kuwa watu hawatembei kabisa wanakula sana afu hawafanyi mazoezi kwani huko kwao ukitembea kw mguu unaonekana kama mtu wa ajabu. Yeye na familia yake wameweza ku ji descipline baada ya kuona uzito waongezeka na wanafanya jogging regularly.

Yaani Qatar kwa sasa inaongoza duniani kwa diabetis. Statistics za dunia ni 6% ya population wana diabetis lakini Qatar wao wana 16%. Na hiyo ya dunia wanasema imeongezeka kwa kasi ya ajabu. Kwa hiyo ndugu zangu tujiadhari sana na weight hamna ugonjwa mbaya kama kisukari kikikupata hicho yaani masharti yake ni vema kukinga kuliko hayo masharti. Mara usile chumvi, mara sukari, mara nasikia kinamaliza nguvu ya tendo na uwezo wa kuzaa. Lets take weight issue seriously.

Nilishapata ushuhuda wa mwenzangu ofisini ananambia NK mimi nilikuwa bonge la mtu. Toka nimepata kisukari nimeloose weight mpaka watu wananishangaa (ni mgeni so nimemuona keshapungua). Yaani chaweza kukufanya uonekana kama una HIV. Kina fanya mpaka ngozi inakuwa na makovu. Afu tusijidanganye kuwa ukoo wetu hauna kisukari so am safe. Siku hizi kisukari kinaweza mpata mtu yeyote sababu ya kula hovyo.

badala mkipata fedha ndo iwe rahisi kula vizuri nyie ndo mnakula vibaya....
 
Shosti umenikumbusha. Tabia ya kula hovyo haiko bongo peke yake. Nilikuwa naangalia Aljazeera, wanasema sasa hivi nchini Qatar (sijuhi nimepatia spelling) asilimia 16 ya wananchi wake wana diabetis. Walikuwa wanamuhoji daktari mmoja wa hiyo nchi, akasema nchi yao sasa hivi hali ya kipato cha raia imekuwa juu, yani ni matajiri sana. Sasa badala ya kucheki wanachokula watu wanafakamia ma baga ndio maana wananenepeana. Na kibaya zaidi doctor anasema wakiona wamenenepa wanaanza diet ya ku skip breakfast na ku over eat lunch na dinner. Doctor akasema breakfast ni muhimu sana kuliko mlo wowote na haiongezi uzito. So people should have heavy breakfast and light dinner! Kingine alichosema ni kuwa watu hawatembei kabisa wanakula sana afu hawafanyi mazoezi kwani huko kwao ukitembea kw mguu unaonekana kama mtu wa ajabu. Yeye na familia yake wameweza ku ji descipline baada ya kuona uzito waongezeka na wanafanya jogingi regularly.
yaani umemaliza kila kitu mpendwa.....watu tunajisahau sana na tunashindwa kujua ni rahisi sana kuzuia maunene kuliko kujipunguza.kula vizuri,fanya mazoezi sio lazima kwenda gym hatakutembea dakika kumi kwa wiki mara tatu ni mazoezi pia na mwisho wa siku utajipenda hasa...
 
hivi mtu akishajifungua ndo anatoka kitambi......
 
ndio mwanzo
ndo maaana wamama aliojifungua wakila ovyo...
Sio sawa na wadada wanaokula ovyo wasiowahi kubeba mimba
nashukuru umesema kujifungua hakuleti kitambi ila ukila hovyo......kama mama nashangaa watu wakishabihisha kitambi na kuzaa
 
cha kawaida ni kile unapata kwa kula
au kwa kujifungua
kikizidi kuwa kama mimba basi hapo ndo hatari....

Ok!....
Nimekupata vema the boss!...
Kweli ni hatari kwa mwanamke kitambi kikizidi sana manake shape yote inapotea!..lol.
 
Back
Top Bottom