Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Ni kwa sababu unakomaa na mademu KCC (kima cha chini)
Jaribu wa next level then utakuja na mrejesho.


Hamna mwanamke next level wanawake wanaigiza mkuu. Mwanamke ukiona anajifanya next level ujue ni biashara au 1st approach yako ndio imekuponza ukijifanya matawi anakutreat hivyo hivyo. Hakikukubali utakua unaringa wewe. Kuna unawaona wewe matawi kuna vidume vimetuliwa vinabembelezwa hili kidume kipige game . Jiongeze usikubali drama
 
Hamna mwanamke next level wanawake wanaigiza mkuu. Mwanamke ukiona anajifanya next level ujue ni biashara au 1st approach yako ndio imekuponza ukijifanya matawi anakutreat hivyo hivyo. Hakikukubali utakua unaringa wewe. Kuna unawaona wewe matawi kuna vidume vimetuliwa vinabembelezwa hili kidume kipige game . Jiongeze usikubali drama
We jamaa upo vizuri sana,ni muelewa na unawajua wanawake sna
 
Wengi wanapenda kubeba mimba ndio maana hawapendi kutumia condm zinawawekea kizingiti
 
Waungwana wote humu ndani mtakuwa ni mashahidi.

Kwa wale wanaopenda totozi mtaelewa maana ya ninachoongelea hapa na mtaungana na mimi.Kwa wale ambao mbunye kwenu ni kitu adimu basi naamini hatutaelewana.

Jamani tangu nianze kufanya mapenzi hadi leo nimelala na wanawake wengi sana na nina watoto watatu wa mama tofauti,ila sijaoa na sifikirii kuoa katika wanawake hao wengi niliopakuana nao kwa kweli ni watatu tu ndio walioweka mkazo wa kondomu na walikaza haswa.

Wengine wote huwa hata kukumbushia hakuna wala nini.sasa waungwana najiuliza hivi ni kwa nini wanawake wengi hawapendi kuliwa pipi zao na maganda?Yaani unakuta demu unamvua hadi chupi ila hasemi kitu kuhusu kondomu,hadi unampanda ila kimya tu.

Sasa najiuliza sana hii kitu ni kwanini hawa dada zetu hawapendi kondomu? Tena mwingine ukimng'ata na kondomu basi ujue siku nyingine haji tena na wengine ukimwambia tutumie kinga,huwa wanalalamika eti zinawawasha.
Aliyekataa ndo mwenye jibu zuri wakwangu anasema ukitumia kinga unakua kama umetoa mimba
 
Kuna kademu nakagegeda yaan kalianiambia wazi nikavaa kondom hasikii utamu kabisa...ka napenda dushe likiwa live bila chenga
 
Hili ni kweli kabisa, kuna demu nimeanza naye mahusiano hivi karibuni, nimemgonga mara1, game ya pili kakataa katakata hadi tukapime ili tuwe tunapiga kavu, sasa mtihani ni hapo kwenye kupima na nyapu naitaka[emoji87]
 
wengi ambao nmeshawapitia hawapendi kondomu...hkn aliywah kuniulza suala la kondomu...mwingne uyo ndo kbsa ilikua nikimwambia leo tunatumia kinga kwsbbu yuko kwny cku za hatari anakasirikaa yn anaona bora anywe dawa za kuzuia mimba kuliko kutumia kondomu
 
Daktari ni binadamu kama sisi akiwa mzembe yatamkuta,anyway sawa..............
we achana na hizo za SALAMA
mwambie kidumu wako atumie hii itakutekenyesha vizuri itakukuna vizuri. na inausalama 100%
hii
images
images
kapeace
 
mwanamke YEYOTE ukifanya nae na CONDOMS elewa yupo mtu anafanya nae bila KINGA ,, yale MAJI unayomwagia ndy YANAYOMALIZA HAMU YAKE....kama upo kwenye mahusiano na MPENZI na CONDOM elewa hauaminiki...na yupo anayeaminiwa.....ndy maana wanaleta sababu nyingi za visingizio ili condoms zisitumike,,,pia kuna wanawake wengine wakishaona DUSHE tu akili zinaruka.....kauli inakata.....UKISHAMALIZA kumtafuna ndy akili inarudi....kwahyo jukumu la kuamua kutumia condoms ni lako mwanaume,, YUPO DADA MMOJA aliwahi kunambiya hawezi kuridhika kwa CONDOMS.....nikitaka aridhike nivue condom....nilipata wakati mgumu sana ktk mahusiano yangu na yeye..alikuwa haridhiki hata nipige usiku kucha....hamwagi....
 
ivi uwaga zipo za KE zinauzwa wapi??? bei gani??? alafu ukienda dukan unasemaje??? make utasema ndomu ukifika hom ukikuta ni ya ME Je???? (usiniquote ewe mzinzi kwa kunitusi au kejeli mi sio mzinzi mwenzio ni swali tu kwa faida ya wote wasiojua),.
Mbona umejiami sana
 
Mimi kuliko demu anipe na ndomu bora aninyime kabisaaa mbunye yake.
 
Back
Top Bottom