Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Mods wanaunganisha uzi inaleta shida sana, content hazifanani..
 
Kwanini nimuamini mtu anae kutana na watu wengine mtaani, ofisini, sokoni, safarini, hospitalini, kanisani.
Unadhani mwanaume akishakutolea mahari basi anakua kipofu kwa wanawake wengine wote?????
Amka shoga yangu.
Shoga unataka kuniaminisha kua wanaume wote wana michepuko..?
 
K ikilowa mbona safi tu,mm ni mwiko kuingia kwenye K kavu hapo lazima mate +kohozi vihusike,,na ile kusugua K mpaka inakauka unaingia nayo na kutoka nayo ikiwa imenatia kwenye dhakari hiyo kwangu siruhusu
 
Aise yaanihawa viumbe ukishawavua chupi ruksa kuingiza dudu...

Juzi nimekula classmate wangu wa o level aisee nimekuja kushtuka ndomu nimetumia kwenye mzunguko wa 2...
 
Back
Top Bottom