NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
Daktari ni binadamu kama sisi akiwa mzembe yatamkuta,anyway sawa..............Bado hujakua dogo,subiri ukiwa mkubwa utaelewa,hushangai hata madaktari wanaugua ukimwi?
Daktari ni binadamu kama sisi akiwa mzembe yatamkuta,anyway sawa..............Bado hujakua dogo,subiri ukiwa mkubwa utaelewa,hushangai hata madaktari wanaugua ukimwi?
Hao watakua wanajijua kama maiti watarajiwa,na hata mwanamme mwenye akili zake akimuona mwanamke mwenye style hiyo jiulize kabla yako wewe amesha wavulia wangapi na hao kwenye wangapi wazima wangapi?
Kumbe!Zinawasha ee
Kweli kuna mmoja alinivua kibishi sana ''kama unataka VUAAAA '' kwa kuwa nilikuwa na ............sana sikuwa na jinsi nilimgegeda hivyo hivyo ,viwili tu wakati kitu kipo laini .Zinawasha ee
Sasa na wewe kwanini uvae?Kweli kuna mmoja alinivua kibishi sana ''kama unataka VUAAAA '' kwa kuwa nilikuwa na ............sana sikuwa na jinsi nilimgegeda hivyo hivyo ,viwili tu wakati kitu kipo laini .
Shikamoo mwl.teh teh kuna alonambiaga eti kondom zinampa fangasi xo bora tukapime H.I.V ili tule pipi bila maganda.
Mwingine nlikuwa na condom 3 zikaisha usiku alilia machozi anataka pipi bila ganda basi asubuhi akaamkia hospitali kupima ili siku nyingine nimpe pipi yangu bila maganda.
Mwingine siku ya kwanza kukutana ile natoa kondom akaninyang'anya akaikunjakunja na kuitupia mbali.....
Mbona zipo sana tu.Lady pepeta oyee, though sijui ziliishia wap?
we achana na hizo za SALAMAZinawasha ee
HUMU NAMO KUNA UTAMU TENA WA HAJJAA NA UHAKIKAYa nini kujikatisha utyaamu
Mmmh wanaume ndio hawazitaki ukikomaa sana atavaa baadae imebast sasa hapo unajiuliza nilivaa au sikuivaa. For mi hiyo durex ni muhimu sana.Waungwana wote humu ndani mtakuwa ni mashahidi.
Kwa wale wanaopenda totozi mtaelewa maana ya ninachoongelea hapa na mtaungana na mimi.Kwa wale ambao mbunye kwenu ni kitu adimu basi naamini hatutaelewana.
Jamani tangu nianze kufanya mapenzi hadi leo nimelala na wanawake wengi sana na nina watoto watatu wa mama tofauti,ila sijaoa na sifikirii kuoa katika wanawake hao wengi niliopakuana nao kwa kweli ni watatu tu ndio walioweka mkazo wa kondomu na walikaza haswa.
Wengine wote huwa hata kukumbushia hakuna wala nini.sasa waungwana najiuliza hivi ni kwa nini wanawake wengi hawapendi kuliwa pipi zao na maganda?Yaani unakuta demu unamvua hadi chupi ila hasemi kitu kuhusu kondomu,hadi unampanda ila kimya tu.
Sasa najiuliza sana hii kitu ni kwanini hawa dada zetu hawapendi kondomu? Tena mwingine ukimng'ata na kondomu basi ujue siku nyingine haji tena na wengine ukimwambia tutumie kinga,huwa wanalalamika eti zinawawasha.